Recent content by Mfa maji

  1. M

    Twiga albino waonekana Hifadhi ya Tarangire, Tanzania

    Aisee hawa wanyama wapo mbugani si kweli kama amewagundua. Wengine wapo hifadhi ya katavi na si twiga tu wenye hio mutation
  2. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Dharau! Kwahiyo wadada hawswezi kununua magari yao????
  3. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mimi nina toyota CAMI niliagiza toka Japan mwaka 2011. Binafsi niliipenda kutokana na nafasi kubwa kutoka chini au uvungu. Ulaji wa mafuta pia ni mzuri. Nikiweka full tank lt 40 natoja Dar mpaka Same ndio taa inawaka. Ulaji wake wa mafuta highway unafika lt1/km 13 barabara za mjini lt 1/km 8...
  4. M

    Kauli za wanawake wasipotaka kufanya mapenzi sikupi,sina mood,sijisiki

    Na yeye ni binadamu siku nyingine hajiskii
  5. M

    Kwanini wanawake wanapenda kukumbatiwa na wanaume kwa nyuma?

    Waliosema wanaogopa kupuliama na harufu ya midomo wako sahihi kabisa
  6. M

    Nafasi za kazi nchi za nje

    Napenda watu wanaosema ukweli kuhusu maisha ya nje. I have been there so mtu akipotosha nasikitika sana.
  7. M

    Kiwanja kinauzwa Kigamboni mwisho wa ukuta wa funny city

    Kwani fun city ipo kigamboni?
  8. M

    Dada zetu mnaboa kutuonyesha miraba ya nguo zenu za ndani

    Sijui sijaelewa? Kwahiyo unatamani wanaume wenzako? Unavutiwa na mapaja na misuli yao ili ikufanyaje?
  9. M

    Kwa nini wanawake hununa bila sababu ya msingi?

    Mwili wa mwanamke unaendeshwa zaidi na vichocheo/hormone ambavyo huathiri hisia "mood swing". Jaribuni kuelewa maumbile yao na muwachukulie kwa upole
  10. M

    Mtanzania Charles Mihayo jela maisha

    Mtanzania aliyeua watoto wake ahukumiwa
  11. M

    Wametoa mimba sasa hawana amani wanadaina mtoto "msaada"

    Kwani wewe hautakufa utaishi milele? acheni kuhukumu watu hapa duniani
  12. M

    Kipi bora kati ya Kujenga au kununua nyumba

    Kwahiyo aanze kujenga akifikisha miaka 40?
  13. M

    Ujumbe wangu wa leo

    Hii gari nilikutana nayo mahali, I think ni mbagala au mtongani
Back
Top Bottom