ukikumbatiwa kwa nyuma unajiona kama mtoto mchanga vile, hii raha mtu wa mazoezi shoulder za kutosha
Kwa wazoefu wanaelewa kuwa ukiwa na mke/mpenzi wako wa kike mnaonga au mmelala, mara nyingi anapenda umkumbatie kwa nyuma kama stori au petipeti inaendelea. Na hii ni almost kwa wanawake wote. Wanawake ambao wameolewa au wana wapenzi wanaume wafupi kuliko wao huwa hawaenjoy sana hii hali
Naomba wanawake wanijibu kwanini wanapenda hivi, au ni kuona aibu ya kumtazama mwanaume usoni? Wanawake kadhaa niliowauliza wameshindwa kunipa sababu za kueleweka...
ni position ambayo inamfanya mwanamke arelax...unajua wanawake tunapenda kukumbatiwa kuliko unavyoweza kuimagin. ukimkumbatia kwa kugeukiana, huwa kuna distance inabaki kati yenu au la sivyo itawabidi wote waawili mtumie nguvu kidogo ili kugusana kabisa. sasa, unampomkumbatia kwa nyuma, miili inakua na uwiano mzuri mnagusana kuanzia juu kati hadi chini kwa kurelax bila nguvu. hii inamfanya mwanamke ajisikie kakumbatiwa vuzuri hasa kwa kua mwanaume anakua na access nzuru ya kumshika kiuno na maziwa maeneo ambayo yana raha... lol...nisijiachie hapa bureeeee tchao
Maelezo yako tu dushe langu limechachamaa hatari! Aakh! Hapa binadamu hatuna ujanja,hata uwe jiniasi vipi!
nimependa 2 relationship,157cmMimi si mfupi wala mrefu am approx 157 cm kama nakumbuka vizuri maana nimepima long time kitambo. Ila sijawahi kuwa na partner mfupi labda kwa kuwa nimekuwa na two relationships tu kabla ya kuolewa.