mahershalalhashbaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 388
- 79
Usiumize kichwa man!! Wakati analeta hzo za kuleta chukua poz baadae atakaa sawa tu, ukilumbana naye utaumiza bure kichwa chako.
dawa yao ni makofi tu..
Akinuna ww tandika makofi kama matano hvi halafu nenda kajiliwaze kwa mchepuko
Ninaomba kwa anayefahamu sababu inayopelekea wanawake kununa bila hata kuudhiwa na mtu yeyote, unaweza kuta jana alikua mcheshi na mchangamfu ila siku inayofuata kabadilika kabisa, na hata kufikia hatua ya kutomsemesha mtu yeyote yule.
Mie inanitokeaga tu najikuta nimenuna
Hawezi kununa bila sababu
Besti nlikumiss
wanasema huenda yupo kwenye period, au wanapima upendo mume
wanasema huenda yupo kwenye period, au wanapima upendo mume
Hahahaa huu mnuno wa karne
Hata mie nimekumiss sana my dia.Mzima lakini?
Wewe unafikiri kutoka damu bila kuwa na kidonda kila mwezi utaacha kununa sometimes?
Mwili wa mwanamke unaendeshwa zaidi na vichocheo/hormone ambavyo huathiri hisia "mood swing". Jaribuni kuelewa maumbile yao na muwachukulie kwa upole