Kipi bora kati ya Kujenga au kununua nyumba

Kipi bora kati ya Kujenga au kununua nyumba

Olympus

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
2,818
Reaction score
689
Guys naombeni ushauri wenu kwa wenye experience hivi kati ya kununua na kujenga nyumba ipi ni bora.
 
Ukiwa huna haraka sana ni heri ukajenga kwani utapata nyumba angalau yenye kiwango utakachokiitaji mana mara nyingi nyumba za kununua zimejengwa kwa kibiashara sana
 
We mleta mada unamawazo kama yangu! Mim naona bora kujenga kuliko kununua! kununua nyumba unakuta hazina ubora wowote ndan ya miezi kadhaa nyumba inaanza kupasuka nyufa yenyewe! mkuu mim nakushauri bora ujenge
 
Bora kujenga mwenyewe na UITAMBIKE MWENYEWE.....nyumba ya kununua tayari ILISHATAMBIKWA NA HUJUI ALITAMBIKIA NINI?
 
bora kupanga tu...kujenga gharama na inachukua muda...kununua ndio kabisa mtu kajenga kwa milioni 20 anataka kukuuzia kwa milioni 50 kakuona boya
 
Guys naombeni ushauri wenu kwa wenye experience hivi kati ya kununua na kujenga nyumba ipi ni bora
Bora ujenge mkuu siku hizi usanii mwingi sana mjini watu wanajenga nyumba ya udongo inapigwa plaster na finishing nzur hutoweza kuja kuamini ni ya udongo.....utainunua kama nyumba ya block kwa milion 200...ukija kusanuka hata aliekuuzia hutokaa umuone tena.
 
Kujenga au kununua nyumba ni uoga wa maisha. Uza nyumba jenga heshima bar papaa!
 
Kijana una miaka 22 unatafuta jumba ya kazi gani? Hadi ufikishe 40yrs hiyo nyumba itakua kama makumbusho ya kale, cha msingi nunua kiwanja/shamba tulia epuka hasara zisizo za lazima kuna new models house planning zitakuja utajenga tu.
 
Kijana una miaka 22 unatafuta jumba ya kazi gani? Hadi ufikishe 40yrs hiyo nyumba itakua kama makumbusho ya kale, cha msingi nunua kiwanja/shamba tulia epuka hasara zisizo za lazima kuna new models house planning zitakuja utajenga tu.

Kwahiyo aanze kujenga akifikisha miaka 40?
 
Kijana una miaka 22 unatafuta jumba ya kazi gani? Hadi ufikishe 40yrs hiyo nyumba itakua kama makumbusho ya kale, cha msingi nunua kiwanja/shamba tulia epuka hasara zisizo za lazima kuna new models house planning zitakuja utajenga tu.

Kwikwikwikwi©^&#960;&#8730;<¶™©™ unachekesha .........babu yako bado amepanga nini?
 
Ki naona bora kujenga mwenyewe kuliko kununua hujui kaijenga kwa kiwango kipi lakin ukijenga unaijenga kwa kiwango utakacho wew na umadhubuti unaoutaka ukinunua unaweza kuta nyumba sehem za kuweka nondo imewekwa mirunda ikala kwako
 
Back
Top Bottom