sijaona tatizo la ule waraka..unajua hata nyumbani, ukiwa mkali sana, mchoyo sana, msiri sana, kila kitu ni wewe tu, maamuzi yako ni yako tu, hushirikishi mama, wala mtoto....itafika wakati,, watoto watakuwa na mahitaji, na hawatokwambia, au pengine watakwambia mara moja, au mbili, usipoAct...