Nina miaka 30 na uzito wa kilo 102!!!

TRIPLE H

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
651
349
Kwenu wadau,
Kama nilivyojieleza hapo juu ndivyo ilivyo,lkn mwanzoni ckuwa hivyo.
Nilipokuwa form six mwaka 2005,uzito wangu ulikuwa 64kg na nilipokuwa namaliza udsm uzito ulikuwa 76 kg,lkn sasa ndo hivyo tena 102kg na si kwamba nakula sana!
Kama nijuavyo uzito huu si salama kiafya ndo maana naandika hapa jf ili wadau aina ya mzizimkavu(undeniable doctor) muweze kunisaidia la kufanya maana hapa jamvini ni kila kitu.
Ahsanteni.
 
pole, pengine target yako ilikuwa kumfikia huyo Triple H, anyway that's not the case.....
kula sana sio tatizo, tatizo ni aina ya vyakula unavyokula hata kama unakula kidogo kidogo mara nyingi....kiukweli, kama ulivyoeleza awali, si salama kuwa na uzito mkubwa...though hatari zaidi tungeweza kujua endapo ungetuambia na urefu wako, ili iwe rahisi kudetermine BMI......ila kama binafsi unaona huo uzito haukufai, nakushauri upunguze matumizi ya chakula chenye mafuta mengi, jiwekee ratiba ya kufanya mazoezi ikiwezekana mara tatu kwa siku kila session uwe na dak 15 za kutoka jasho la kutosha bila kujionea huruma...kukimbia si lazima, tafuta aina ya mazoezi ambayo hata ukiwa ofisini unaweza kuyafanya....but make sure una bafu huko ofisini...endapo ni ofisi zetu za kiswahili, basi fanya mazoezi mara mbili kwa siku..............
 
pole, pengine target yako ilikuwa kumfikia huyo Triple H, anyway that's not the case.....
kula sana sio tatizo, tatizo ni aina ya vyakula unavyokula hata kama unakula kidogo kidogo mara nyingi....kiukweli, kama ulivyoeleza awali, si salama kuwa na uzito mkubwa...though hatari zaidi tungeweza kujua endapo ungetuambia na urefu wako, ili iwe rahisi kudetermine BMI......ila kama binafsi unaona huo uzito haukufai, nakushauri upunguze matumizi ya chakula chenye mafuta mengi, jiwekee ratiba ya kufanya mazoezi ikiwezekana mara tatu kwa siku kila session uwe na dak 15 za kutoka jasho la kutosha bila kujionea huruma...kukimbia si lazima, tafuta aina ya mazoezi ambayo hata ukiwa ofisini unaweza kuyafanya....but make sure una bafu huko ofisini...endapo ni ofisi zetu za kiswahili, basi fanya mazoezi mara mbili kwa siku..............

ahsante mkuu messiah.Urefu wangu ni 6.7 ft.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom