Amenichunia kisa nilimtania nataka penzi.

Amenichunia kisa nilimtania nataka penzi.

mhm...sasa jamaa kaona wewe hufai kuwa wife ndio maana. ameona unapenda kugegedwa. kaona mbali yule jamaaa

kwa hiyo wife material ni yule ke asiyependa kugegedwa?
 
kwa hiyo wife material ni yule ke asiyependa kugegedwa?

hahahaha kumbe mwapenda kugegedwa lol...nitafute basi tukagegedane lol.
hapana unajua ni hivi huyu mwanamke keshaambiwa kuwa tusigegedane....alafu mara nyingi kugegedana mara ya kwanza wacha mwanaume a-initiate sio wewe mwanamke. baada ya mgegedo wa kwanza sasa hapo wewe mwanamke kama wataka mtalimbo una kila haki ya kusema na kuupata mtalimbo wako.
 
mimi nachokushauri koku uache tamaa ya kufanywa fanywa matusi,jenga tabia ya kufuata mungu vile alisemaga kuwa zinaa ni dhambi,tamaa zako zitakupeleka motoni.

Hiyo kitu ipo tu,it is not as if nanilii itapata kutu or something kama haifanywi.

She was just kidding "lol!
 
duhhh hapo iko kazi, kwa nn hakukwambia yeye binafsi kuwa hakupenda ulichomwambia mpaka asuse miezi mitano??
Mhhhh hapo kuna walakini
 
Au kuna story kazickia kukuhusu akaona we co...
 
duhhh hapo iko kazi, kwa nn hakukwambia yeye binafsi kuwa hakupenda ulichomwambia mpaka asuse miezi mitano??
Mhhhh hapo kuna walakini

yaani huo walakin ndo nataman niujue lkn ntafanyaje ndo nmeshndwa kabsaaaa
 
Mmmhh siku mkioana anaweza kukuchunia hata miaka mitano aisee.
 
Mi ndo huyo bf wako mi nilikua nataka tu urafiki lakini nikaona ww umeenda mbali sana and i was like you idio*t hahahaha!
 
jaribu kutafuta mwingine wew kama yy hataki...ni pm mim nakuhakikishia siku hiyohyo tu tuta dooo mpaka ukimbie wew
 
we koku, jamaa aliogopa kuwa utaenda mpa ka-te-re-ro, we kokutera jamaa kaona mmh asijeumbuka bure, chezea muhaya
 
Back
Top Bottom