Dear Nyerere uliacha wababu wanalea
wajukuu sahv wababu wanaoa wajukuu
.....
Dear nyerere interview cku hizi wa
mwisho ndo anapata kazi.....
Dear Nyerere uliacha simba akiwa mkali
kuliko wanyama wote lakini saizi
binadamu anaongoza kwa ukali, roho
mbaya, asiye na huruma, muuaji, asiyejua
nini...