Nini kinatokea baada ya probation period kwenye makampun ya simu

Nini kinatokea baada ya probation period kwenye makampun ya simu

messi1991

Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
19
Reaction score
2
Nimeajiliwa kwenye kampun ya simu sasa nimemaliza miezi minne baada ya kuajiliwa bado miez miwili kumaliza probation sasa nauliza ukimaliza probation kwenye makampun hela wanakuongezea au laah
 
Unafukuzwa kazi mkuu. Kua tayari kwa hilo.
watakufukuza kwa lipi,kama mda uwo wa majaribio wameridhika na wewe,acha kumdanganya mwenzako wewe kama ujui kaa kimyaa, naomba uwe serious na maswali kama haya, cha msingi mkuu kama ume fuzu uwo mda wa majaribio subiri matunda ila kama umevulunda utapewa nauli tu kwa heri
 
Nimeajiliwa kwenye kampun ya simu sasa nimemaliza miezi minne baada ya kuajiliwa bado miez miwili kumaliza probation sasa nauliza ukimaliza probation kwenye makampun hela wanakuongezea au laah
Wakuongezee hela kwa lipi?
 
Nimeajiliwa kwenye kampun ya simu sasa nimemaliza miezi minne baada ya kuajiliwa bado miez miwili kumaliza probation sasa nauliza ukimaliza probation kwenye makampun hela wanakuongezea au laah

Ikiisha miezi sita utapewa tu barua kuwa probation period imekwisha na kuwa hakutakuwa na mabadiliko ya mshahara.
 
Bhas balaa maana nmeona majamaa zangu makampuni mengne wanawaongezea mmoja alikuwa anapewa kilo sita sasa baada ya kumalza anapewa lak nane wapo mafriend kama watatu
 
Ninachojua mm, baada ya probation period kam wataridhika na utendaji wako wa kazi, mtu hua anapewa Letter of Confirmation of Employment Contract ila kama hawataridhishwa na utendaji waweza kuongezewa probation period au kukatishwa kwa mkataba immediately. Ila swala la kuongezewa salary hutegemea na kipindi cha salary review kwa hyo company. Nawakilisha mkuu
 
Kuhusu kuongezeka kwa mashahara wako inategemea na mkataba ulio saini mikataba mingine inaonyesha kiasi cha mshahara mara baada yakuwa confirmed aidha vipengele vingine huwa vinaonyesha kias cha posho au mshahara wakati wa majaribio/ probation kwa hyo hapa si rahis mtu kukujibu kuhusu ongezeko la mshahara.

Kuhusu kuendelea na ajira au kukoma hapa itategemea na ufanisi wako katika kipindi hiki cha majaribio kumbuka lengo la probation period ni kumsaidia mwajiri kukuelewa kimapana kma una fit katika hyo nafasi pamoja na mambo mengine kama vile tabia ushirikiano na wenzio nk.
 
Back
Top Bottom