muache tenah kwa mala nyingne na pia ni vizuri kumxhauri na kumwambia hizo x c nzuri hasa kwa msichana mdgo kama yeye pia kaa zungumza nae kwa upole m nahc atakuelewa kufukuza ujatatua tatizzo bado.
brooh ujue kuwa mwanamke kutongozwa iyo ni kawaida sana cha msingi huyo mwanamke awe na msimamo la sivyo watakula jamaa lakin pia jua cku akitongozwa na akampenda jamaa hatokuambia anakuambia kwa sababu tyuu ajawapenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.