Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,792
- 1,748
Ongea na nafsi yako uikatae hio hisia,,ni nini umekiona kwa padre hadi umtamani??? Je huna na hujawahi kuwa na mwanaume yoyote??......Unaweza kuta huyo ndo padre bora kuliko wote kwenye hio parokia je uko tayari uifanye hio parokia iwe haina mtu mwaminifu hata mmoja?
Naamini yuko mtu anaekupenda na humpi nafasi hebu mpe hio attention ulioihamisha na hutoona kukosea.
Ni bora upate hata mmoja wa kukuombea toba na ukaridhika nafsi.....
Kumbuka ndo kazi kaisomea miaka yote na ni wito wake pia.
Naamini yuko mtu anaekupenda na humpi nafasi hebu mpe hio attention ulioihamisha na hutoona kukosea.
Ni bora upate hata mmoja wa kukuombea toba na ukaridhika nafsi.....
Kumbuka ndo kazi kaisomea miaka yote na ni wito wake pia.
