hyperbolic
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 459
- 525
Mkuu, kwani watu wasiojulikana ni CCM? we ndo unaanza kuwatuhumuHuyo wakili anatunza fedha kwenye kabati la ofisini kwake?
Wahshi kabisa yaani!!
Halafu ni watu wasiojulikana kivipi?
Toka lini wezi wakawa wanajulikana?
Manake isije tu kuwa ni wezi wa kawaida lakini nyie mnataka kuwahusisha na CCM...