Mpenzi wangu anatongozwa sana!

Siku hizi Zinaa ni halali kabla ya Ndoa!!!

Soon hili litakuwa Sheria
 
brooh ujue kuwa mwanamke kutongozwa iyo ni kawaida sana cha msingi huyo mwanamke awe na msimamo la sivyo watakula jamaa lakin pia jua cku akitongozwa na akampenda jamaa hatokuambia anakuambia kwa sababu tyuu ajawapenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni tatizo kubwa hapa na tena ni bora umemweka kwenye mazingira ya kukuambia, yaani huna gubu... Mara unapoambiwa wanaomtongoza mshauri kama mwanaume ili atumie busara kuwaambia gari imejaa... Tena mwakati mwingine utabaini hata hila chafu zinazopangwa na mwanaume kumdanganya... Nakumbuka ujanani niliwahi solve mbinu ya kilaghai jamaa alikuwa anadate na rafiki wa girl wangu ambaye ni muke sasa... Jamaa akagombana na girl wake ila akawa anampigia wangu eti waonane waongelee ugomvi wa rafikiye, nilipofikiri kiume nikajua hili tego nikamwambia amzingue nafasi haipo siku niko naye 9t kali anapiga simu kulialia kwamba moyo unamuuma anaomba kesho waonane amshauri ndipo nikamtolea uvivu hadi leo heshima ipo... Good thing walijarudiana baada ya yule demu kutemwa na HB wake na ni mkewe sasa....
 
Sioni tatizo kubwa hapa na tena ni bora umemweka kwenye mazingira ya kukuambia, yaani huna gubu... Mara unapoambiwa wanaomtongoza mshauri kama mwanaume ili atumie busara kuwaambia gari imejaa... Tena mwakati mwingine utabaini hata hila chafu zinazopangwa na mwanaume kumdanganya... Nakumbuka ujanani niliwahi solve mbinu ya kilaghai jamaa alikuwa anadate na rafiki wa girl wangu ambaye ni muke sasa... Jamaa akagombana na girl wake ila akawa anampigia wangu eti waonane waongelee ugomvi wa rafikiye, nilipofikiri kiume nikajua hili tego nikamwambia amzingue nafasi haipo siku niko naye 9t kali anapiga simu kulialia kwamba moyo unamuuma anaomba kesho waonane amshauri ndipo nikamtolea uvivu hadi leo heshima ipo... Good thing walijarudiana baada ya yule demu kutemwa na HB wake na ni mkewe sasa....
Asante kwa ushauri mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado mna utoto wewe na huyo demu wako ila muda si mrefu utasalitiwa, kwasababu wakimtongoza yanamkaa akilini mpk kukwambia ni ishara kwamba anataka kuwapa, watu wazima huwa hatusemi kwa bwana eti natongozwa sana na wanaume hata km baba yake mzazi amenitaka siwezi kumwambia mapenzi wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom