Recent content by merus

  1. M

    Kwanini wanaisrael hadi leo sio wakristo, na bado wanaitwa taifa teule la Mungu?

    Kabla ya kujibu, nataka nikufahamishe kwamba Waisraeli walikuwa wateule wakati Mungu alipomwita Abramu(Ibrahimu) kupitia huyo taifa la Israeli likaanza. Kusudi la Mungu ni kuandaa njia ya kumpitishia mwokozi. Na kwa wakati ule walikuwa wateule ndio maana aliwapa sheria namna ya kuishi na...
  2. M

    Sumaye: Sirudi CCM pamoja kuwa nitateseka kwa visasi hivi

    Mungu atakupigania Mh, usiogope dai haki yako popote. Kuhama kwako kumewaumiz ccm Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Baba yake rafiki yangu anamtaka kimapenzi

    Biblia inasema ikimbieni TAMAA YA MWILI.
  4. M

    Jeshi la Polisi lataja wahusika wa mauaji Kibiti mkoa wa Pwani

    Soma haya majina! Umegundua nin?
  5. M

    Jinsi Kampuni za Simu zinavyowaibia wateja wao!

    Kumbee! Aisee nimechanganyikiwa
  6. M

    Nampa Taraka

    Kitu gani kigumu cha kumshinda Mungu? Mwambie shida yako. Usiwah kutoa talaka
Back
Top Bottom