Mtoto wa kiume huyo. Kama ukiona mwanamke mjamzito yupo karibu sana na watoto wa kike basi tumboni kabeba mtoto wa kiume nafahamu hilo swala mm utakuja niambia mpendwa
Yani huyo mwanaume haeleweki unaweza zaa nae akakutelekeza ukawa single mother waulize kina faiza ally shida wanayoipata kuwa single mother yani mwanaume mmedumu miaka minne hana kazi wewe una kazi halafu akuendeshe? Yani usijaribu kuzaa na mwanaume asieeleweka utajiaribia maisha mwambie kama...
Ahahahaa rombo nimeenda marangu kilema himo moshi mjini vijijini kote nimeenda si utudanganye hapa mi sikatai jamani wachaga mna sura nzuri ila vingine mtasubiri tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna mchaga alie na mguu wa via au shepu labda kama baba msukuma au muhaya mama mchaga ndo anaweza akawa na element hizo kidooogooo lakini sura sikatai mnazo mmebarikiwa sana vingine usitudanganye sisemi kwakuwa mi msukuma no nasema jinsi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]acha kutudanganya unadhani sijAishi uchagani mm? Sura wanazo kweli sikatai tena asilimia mia zote ila tuje kwenye makalio , hips na miguuu utacheka ahahahahaa ahahahahaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.