Recent content by Merchante

  1. Merchante

    Ushauri kwa watu wote walioajiriwa

    Hawa wanarahisisha sana mambo,mshahara wa laki 5 labda ujenge banda la kuku. Kwasababu kwa mchanganuo tu wa kawaida hiyo laki tano haitoshi.
  2. Merchante

    Dax: What it takes to be a man [swahili version]

    Dax ni Dizasta wa ughaibuni.
  3. Merchante

    Wafadhili wamejenga Msikiti kwenye Eneo la shule ya sekondari inayomilikwa na serikali. Mkurugenzi wa Halmashauri ameuvunja

    Ukipitia comments za huu uzi unatambua kwamba Waafrika bado tuna safari ndefu sana ya kujitambua.
  4. Merchante

    Kuhusu madai ya Mayele kutupiwa majini vs mganga huyu we kienyeji kutoka Kusini mwa Tanzania

    Yule ni mwanaume mwenzetu yuko pale kutafuta maisha kama wanaume wengine,so sioni sababu ya kumdharau mtu ambae anaifanya kazi yake ili kuilisha familia yake. Binafsi siwezi kumchukia mchezaji hata akifanya jambo gani, kwasababu mwisho wa siku wote tuko katika kutafuta pesa ili maisha yasonge...
  5. Merchante

    Kuhusu madai ya Mayele kutupiwa majini vs mganga huyu we kienyeji kutoka Kusini mwa Tanzania

    Kusema Mayele hakua mshambuliaji hatari ila ni mshambuliaji mwenye mvuto tu sio kweli,labda wewe si mtu wa mpira. Mayele ni Clinical finisher,Mayele ni aggressive striker pale anapokua analiona goli,zaidi Mayele huwezi kudoubt uwezo wake wa ufungaji kwasababu kati ya Chances mbili Mayele...
  6. Merchante

    Nahitaji kadi maalum VVIP ya kataa ndoa, nimechoka

    Mkuu kataa ndoa,itakupotezea muda tu,karibu chamani.
  7. Merchante

    Nimekutana na Mchina aliyekuja kama kibarua Tanzania ila sasa yeye ni Big Boss

    Safi sana Mkuu,huyo mchina ni yule wa Kinyanambo C au Luganga?
  8. Merchante

    Michano/Hiphop/Freestyle

    Msisahau kuniita hiyo siku.
  9. Merchante

    The Beekeeper (2024) Movie

    Mkuu uko njema,naweza kupata link kwaajili ya Movie kama THE MESSAGE MAN na THE COVENANT.
Back
Top Bottom