Yule ni mwanaume mwenzetu yuko pale kutafuta maisha kama wanaume wengine,so sioni sababu ya kumdharau mtu ambae anaifanya kazi yake ili kuilisha familia yake.
Binafsi siwezi kumchukia mchezaji hata akifanya jambo gani, kwasababu mwisho wa siku wote tuko katika kutafuta pesa ili maisha yasonge...
Kusema Mayele hakua mshambuliaji hatari ila ni mshambuliaji mwenye mvuto tu sio kweli,labda wewe si mtu wa mpira. Mayele ni Clinical finisher,Mayele ni aggressive striker pale anapokua analiona goli,zaidi Mayele huwezi kudoubt uwezo wake wa ufungaji kwasababu kati ya Chances mbili Mayele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.