Recent content by Merchante

  1. Merchante

    JamiiForums Tanzania Jana nilikufa wakuu, cha ajabu leo asubuhi nimeamka, haikuwa ndoto

    Paole sana ndugu,je huko Peponj kukoje?
  2. Merchante

    JamiiForums Tanzania FIFA wameachia kikosi bora cha Kombe la Dunia 2026, una kionaje?

    Huyo Olise anatafuta nini hapo?
  3. Merchante

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anataka kujiunga na chama fulani cha siasa. Nina hofu sana

    Kuna kibopa kutoka Chamanj anampa jeuri.
  4. Merchante

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kocha mpuuzi kaona timu imeshinda akapiga sub za kidwanzi. Camara, Jackson,yule Winga manywele zote sub za kipuuzi. Unamtoa Pape Gueye unamuweka Camara? Unamtoa Ndiaye unamuweka Manywele? Hili bara ni gumu sana wazee.
  5. Merchante

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kocha kafanya Subs za kipuuzi,kumtoa Gueye na kumuingiza Camara sio sawa,kamatoa Ndiaye kamuingiza huyu boya anajiginga gonga tu.
  6. Merchante

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Telemans na Trossad kunani?
  7. Merchante

    JamiiForums Tanzania FT: Belgium 3-2 Senegal | World Cup 2026 | Lumen Field | 1 Julai, 2026 |5:00 Usiku

    Wakuu site gani naweza kuangalia hii game online?
  8. Merchante

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    Mkuu usifikie hatua hiyo,hilo giza halitodumu,bado hatua chache sana za kufikia mwanga. Jambo la msingi,chapa kazi yoyote kwa nguvu zako,ukikosa kazi za watu fanya zako,hakuna jasho la mtu litaenda bure.
  9. Merchante

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    Msakatonge Halali,Hakuna kukata tamaa.
  10. Merchante

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    Wakuu mnawezaje kukata tamaa? Mimi huwa naona kila jambo linatokea/linakuja katika maisha ya mwanadamu kwa kusudi maalumu. Na kanuni ya maisha ni kwamba baada ya Kiza ni Nuru,baada ya Nuru basi Kiza hufuata. Ni kawaida tu ya maisha,ni kama majira ya mwaka au siku,so tunapokutana na mitihani...
  11. Merchante

    JamiiForums Tanzania Nimekuwa na uraibu wa pombe! Natubu 🙏🏽

    Pole sana Mzee,naielewa hiyo hali.
  12. Merchante

    JamiiForums Tanzania Nimekuwa na uraibu wa pombe! Natubu 🙏🏽

    Amini unaweza kuacha Mtungi,ila huwezi kuacha kwa style hiyo ya ghafla. Ni kawaida mtu akilewa sana leo kesho akiamka anajiapiza hatokuja kutumia tena pombe. Ila siku chache baadae hurejea katika ulevi uliopindukia. Mambo ya kufanya; 1: Ichukulie pombe ni kitu cha kawaida sana,kwamba sawa ni...
  13. Merchante

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenye vitambi mnakera, fanyeni mazoezi

    Mleta mada uko sahihi. Kwa kifupi kitambi jau hata kwa mwanaume. Kata wese,kitambi ni uzembe.
  14. Merchante

    JamiiForums Tanzania Valentine imekaribia, ungependa member gani awe valentine wako?

    Mapema tu, nadhani tuyajenge kwa kina tuwahi mapema kabla ya mambo hayajawa mengi. Au kuna kibabu kaniwahi?
Back
Top Bottom