Kocha mpuuzi kaona timu imeshinda akapiga sub za kidwanzi. Camara, Jackson,yule Winga manywele zote sub za kipuuzi. Unamtoa Pape Gueye unamuweka Camara? Unamtoa Ndiaye unamuweka Manywele?
Hili bara ni gumu sana wazee.
Mkuu usifikie hatua hiyo,hilo giza halitodumu,bado hatua chache sana za kufikia mwanga.
Jambo la msingi,chapa kazi yoyote kwa nguvu zako,ukikosa kazi za watu fanya zako,hakuna jasho la mtu litaenda bure.
Wakuu mnawezaje kukata tamaa? Mimi huwa naona kila jambo linatokea/linakuja katika maisha ya mwanadamu kwa kusudi maalumu. Na kanuni ya maisha ni kwamba baada ya Kiza ni Nuru,baada ya Nuru basi Kiza hufuata.
Ni kawaida tu ya maisha,ni kama majira ya mwaka au siku,so tunapokutana na mitihani...
Amini unaweza kuacha Mtungi,ila huwezi kuacha kwa style hiyo ya ghafla. Ni kawaida mtu akilewa sana leo kesho akiamka anajiapiza hatokuja kutumia tena pombe. Ila siku chache baadae hurejea katika ulevi uliopindukia.
Mambo ya kufanya;
1: Ichukulie pombe ni kitu cha kawaida sana,kwamba sawa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.