Recent content by Merchante

  1. Merchante

    Nimekuwa na uraibu wa pombe! Natubu 🙏🏽

    Pole sana Mzee,naielewa hiyo hali.
  2. Merchante

    Nimekuwa na uraibu wa pombe! Natubu 🙏🏽

    Amini unaweza kuacha Mtungi,ila huwezi kuacha kwa style hiyo ya ghafla. Ni kawaida mtu akilewa sana leo kesho akiamka anajiapiza hatokuja kutumia tena pombe. Ila siku chache baadae hurejea katika ulevi uliopindukia. Mambo ya kufanya; 1: Ichukulie pombe ni kitu cha kawaida sana,kwamba sawa ni...
  3. Merchante

    Wanawake wenye vitambi mnakera, fanyeni mazoezi

    Mleta mada uko sahihi. Kwa kifupi kitambi jau hata kwa mwanaume. Kata wese,kitambi ni uzembe.
  4. Merchante

    Valentine imekaribia, ungependa member gani awe valentine wako?

    Mapema tu, nadhani tuyajenge kwa kina tuwahi mapema kabla ya mambo hayajawa mengi. Au kuna kibabu kaniwahi?
  5. Merchante

    Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

    Huku usirudi Brother,wadau wa Halmashauri wanazidi tu kupauka.
  6. Merchante

    Valentine imekaribia, ungependa member gani awe valentine wako?

    financial services twende Ruaha national park,nimekuwahi.
  7. Merchante

    Faida tano (5) za kutofanya mapenzi kwa muda mrefu

    Uko sahihi,hasira za karibu ni moja kati ya sababu za kutofanya tendo kwa muda mrefu.
  8. Merchante

    Sioni Gen Z Wakifanikiwa

    Mzee Kazi yaki ni ngumu sana,bila shaka hata malipo yako yatakua makubwa.
  9. Merchante

    Ndoa miaka 11 naomba ushauri

    Tuko pamoja kiongozi,usikate tamaa kwani kisichokuua basi kinakujenga. Bado una nafasi ya kufanya maamuzi sahihi.
  10. Merchante

    Baada ya kufanyia Kazi masuala serious katika nchi yaliotupelekea vifo vya watu October 29 nyie bado Mnaendekeza propaganda?

    Hawa bado wanafanya siaza za mwaka 1940's,wanaleta propaganda kwa kizazi hiki cha technology. Siasa zai za miaka hiyo Jiwe unaambiawa sio jiwe ni kiazi na watu wanakuamini.
  11. Merchante

    PostGE2025 Rais Samia: Tumeambiwa vijana walioingia barabarani kudai haki walilipwa fedha kwanza

    Kadili wanavyozidi kuongea na kujitetea ndivyo wanavyozidi kuharibu.
  12. Merchante

    PostGE2025 Rais Samia amteua Binti yake Wanu Hafidh, kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu

    Aisee kazi kweli kweli! Elimu ya hapa na pale.
Back
Top Bottom