Kwa mimi navyofahamu ni lazima:
1. Uwe na Division 1 hadi division 3 ya 25 zaidi ya hapo huwezi ku apply
2. Ufaulu kwa masomo ni D. Mfano kama unaenda kusoma PHYSICS AND CHEMISTRY (PCE) ni lazima uwe na DD kwa masomo yote tajwa.
Salamu Ndugu, Naomba kuuliza Hizo bajaji zote ni za kwako? Je kama umewapa vijana, mkataba unasema Je katika issue nzima ya matengenezo/ukarabati wa Bajaji?
Asante.
Asante sana kaka kwa maelezo yako. Nadhani umeelezea zaidi kwa kadri biashara inavyo tofautiana. Kufuga kwangu na kuuza ilikuwa kwa Mara ya kwanza.
Biashara ukifanya kwa Mara ya kwanza na kunielewa unaelewa mengi zaidi na nimejifunza mengi sana.
Hiyo inawezekana kabisa mkuu, kutoka soko moja kwenda jingine. Watu wenye mtaji mkubwa ndo huwa wanafanya biashara hii ya kununua Tanzania na kwenda kuuza masoko ya Jirani nchini Kenya ambapo Kuna uhitaji mkubwa zaidi.
Salamu Wakuu wa Jukwaa.
Mimi ni moja ya wafanyakazi katika Taasisi wilaya Ya Ngorongoro Mkoani Arusha, mahala nilipo ajiriwa ni karibu sana na Kenya almost kilomita 20 kuingia nchi Jirani. Huku kabila kubwa ni Wamasai.
Mwaka jana mwezi wa 8 Nilipata wazo la kuanzisha biashara hii hasa kutokana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.