Ushauri Juu ya Hatima ya maisha yangu

Ushauri Juu ya Hatima ya maisha yangu

Huyo mwanamke anayekubembeleza umuoe, mkioana atakupa mda akiona mambo yako bado
hajakwendea ipasavyo sio ajabu akakusababishia mauvi
Kuhusu hili hapana.
Nilianza mahusiano nae nikiwa chuo mwaka wa kwanza.
Shughuli yangu kubwa ilikuwa Uvuvi.
Kwa siku nilikuwa napata 1500/=

Kipato kikibwa ni 15000/= inategemea na siku..nilimuambia Mimi ni masikini sina kitu alinielewa na nilikuwa na shida sana.

Nashukuru Mungu kwa Sasa kipato changu kwa siku nikitoa gharama za Uendeshaji ni 60000/= na kuendelea
 
Kuhusu hili hapana.
Nilianza mahusiano nae nikiwa chuo mwaka wa kwanza.
Shughuli yangu kubwa ilikuwa Uvuvi.
Kwa siku nilikuwa napata 1500/=

Kipato kikibwa ni 15000/= inategemea na siku..nilimuambia Mimi ni masikini sina kitu alinielewa na nilikuwa na shida sana.

Nashukuru Mungu kwa Sasa kipato changu kwa siku nikitoa gharama za Uendeshaji ni 60000/= na kuendelea
sawa mkuu ingia na miguu yote na viatu na kila kitu.
Tupo tutatoa ushauri tena
 
Acha kuharibu mambo ya watu. Kama huamini kwenye mapenzi na ndoa ya kweli ni wewe.
Wanawake akili zenu mnazijua wenyewe, alimsadia akiamini kuna mda kadhaa mambo yatanyooka
sasa huo mda ambao uko kwenye kichwa cha huyo dada ukiisha ajieandae kijana wetu kuja kuomba
tena ushauri
 
Hivi wewe unampenda mtu wako unakuja kuomba ushauri hapa kwa wapinga ndoa??
Mkuu futa huu uzi endelea na mipango yako ya kuboresha mahusiano yenu ili muoane.
Hakuna tofauti na shetani hakuambie "jihadhali na manabii wa uwongo".
Unapinga wapinga ndoa huku ukiwa umebeba ajenda ya ya 50/50.
Wahubirieni wapinga ndoa kuwa waache upumbavu wao wa kupinga ndoa na muwakumbushe pia wataka 50/50 waache ushatani wanaouhubiri maana ndiyo umezaa kundi la wapinga ndoa.
 
Hakuna tofauti na shetani hakuambie "jihadhali na manabii wa uwongo".
Unapinga wapinga ndoa huku ukiwa umebeba ajenda ya ya 50/50.
Wahubirieni wapinga ndoa kuwa waache upumbavu wao wa kupinga ndoa na muwakumbushe pia wataka 50/50 waache ushatani wanaouhubiri maana ndiyo umezaa kundi la wapinga ndoa.
Mwambie D

Huuuha........
 
Habari JF,

Kwa unyenyekevu mkubwa Nipo mbele yenu kuomba ushauri juu ya hili suala la Mimi na mpenzi Wangu.

Kwa upande wangu iko hivi.
Ninaishi na msichana ambae tupo kwenye uhusiano almost miezi 10 Sasa.

Kiukweli huyu manzi ananikubali sana, na Mimi pia namkubali kinyama. Hii ni kwasababu amenisaidia mambo mengi sana. Katika kutimiza ndoto zangu..(amenisaidia sana)

Sasa kwakuwa nakaa nae bila ndoa, Kuna changamoto ya mwezi mtukufu wa ramadhani. Mana kijamii na kidini sio sahihi kukaa kiunyumba bila ndoa..

Sasa huyu dada akasema yeye atahama ila mwezi ukiisha itabidi nihamie hapo alipopata chumba mana mama mwenye nyumba hawaelewani(udhaifu wa wanawake)) hivyo baada ya ramadhani itabidi tuendelee kukaa pamoja.

Sasa Mimi naomba ushauri
Nikae nae au tukae tofauti? ila Lengo letu kubwa ni kufunga ndoa au tuanze kupambana kuanzia chini mpaka juu.

Je, hustle za kupambana uku unaishi na msichana ambae utakuja kumuoa inaakaaje??

Naombeni ushauri wa kina mana nikimwambia tukae tofauti lazima aanze kulia..

Naomba ushauri!
Ninapokaa Kodi inaisha mwezi wa tano(40000) tutakapo Amia ambapo amelipa yeye Kodi ni (70000) amelipa miezi 4.

Ombi langu kubwa ni kama ifuatavyo.
Matika kutafuta maisha ni vizuri kukaa na msichana mkianza kutafuta pamoja??

Naomba msaada
Kwa hiyo pamoja na uzinzi wenu mnaofanya, mwezi Mtukufu ndio changamoto na sio nyie?asee wewe ni nyokolo
 
Habari JF,

Kwa unyenyekevu mkubwa Nipo mbele yenu kuomba ushauri juu ya hili suala la Mimi na mpenzi Wangu.

Kwa upande wangu iko hivi.
Ninaishi na msichana ambae tupo kwenye uhusiano almost miezi 10 Sasa.

Kiukweli huyu manzi ananikubali sana, na Mimi pia namkubali kinyama. Hii ni kwasababu amenisaidia mambo mengi sana. Katika kutimiza ndoto zangu..(amenisaidia sana)

Sasa kwakuwa nakaa nae bila ndoa, Kuna changamoto ya mwezi mtukufu wa ramadhani. Mana kijamii na kidini sio sahihi kukaa kiunyumba bila ndoa..

Sasa huyu dada akasema yeye atahama ila mwezi ukiisha itabidi nihamie hapo alipopata chumba mana mama mwenye nyumba hawaelewani(udhaifu wa wanawake)) hivyo baada ya ramadhani itabidi tuendelee kukaa pamoja.

Sasa Mimi naomba ushauri
Nikae nae au tukae tofauti? ila Lengo letu kubwa ni kufunga ndoa au tuanze kupambana kuanzia chini mpaka juu.

Je, hustle za kupambana uku unaishi na msichana ambae utakuja kumuoa inaakaaje??

Naombeni ushauri wa kina mana nikimwambia tukae tofauti lazima aanze kulia..

Naomba ushauri!
Ninapokaa Kodi inaisha mwezi wa tano(40000) tutakapo Amia ambapo amelipa yeye Kodi ni (70000) amelipa miezi 4.

Ombi langu kubwa ni kama ifuatavyo.
Matika kutafuta maisha ni vizuri kukaa na msichana mkianza kutafuta pamoja??

Naomba msaada
Kaka mvumilie atarudi tu, mshakuwa mwili mmoja tayari. Uvumilivu muhimu.
 
Kwa hiyo pamoja na uzinzi wenu mnaofanya, mwezi Mtukufu ndio changamoto na sio nyie?asee wewe ni nyokolo
Unanita Mimi mzinzi!
Vipi kuhusu wewe??
Nadhani background Yako unaijua vizuri Haina haja ya kudhihirisha wewe ni mzinzi kiasi gani.

Anyway Mimi mzinzi ila ninae zini nae mwisho wa siki ndio mke Wang vipi kuhusu wewe
 
Unanita Mimi mzinzi!
Vipi kuhusu wewe??
Nadhani background Yako unaijua vizuri Haina haja ya kudhihirisha wewe ni mzinzi kiasi gani.

Anyway Mimi mzinzi ila ninae zini nae mwisho wa siki ndio mke Wang vipi kuhusu wewe
Ngoja kuna yule mwenzio alienda hivyo hivyo mwisho wa siku kaleta uzi humu kamfuma manzi yake anapigwa miti hio 70 miezi minne anapanga unajua alipoitoa hio pesa? 😂

Leo nmeona habari mwanamke katupa mtoto alafu Jana nilikua nazungumzia, km ana uwezo wa kumtupa mtoto aliemtunza miezi 9 tumboni mwake na kumzaa kwa uchungu kwa kumwaga damu nyingi manusura kupoteza uhai wake kwa kukatwa na mikasi ili kutanua njia ili mtoto atoke, wewe ni nani? 😂

Acha nisiseme sana hawatabiriki...
 
Kwaio mnachakatana kama kawaida, mwez mtukufu mnaeka pause ili mtubu af mrudi tena kwenye "sambi". Mambo ni faya🤣

Anyway, ushauri wa bure, mwanaume n kupambana, kama amelipia, huo mda na wewe tafta chumba chenye hadhi io io af muamie kwako.

Mwanaume ili uendeshe familia vzur inabd wewe ndo ushike usukani wa mambo kama makazi. La sivo kuna uwezekano atakuja kukusimanga huko mbeleni.

Yeye kulipa 70k maana yake anakuonyesha kua inabd u upgrade life lenu. Coz yawezekana hicho cha 70 n self af chako ndo ile la member.
afate ushauri huu hapa, simshauri kukaa kwa mwanamke ajiongeze kama ulivyoshauri
 
Mkuu kabla hajaondoka embu piga mimba ujiakikishie kabisa mana huwa wanabadilika fasta
 
Woteeee watasema...mengi yatasemwaa.

Nikushauri jambo Moja.... Nyinyi Ndoa zenu hazina mambo mengi.

Fungal Ndoa muishi pamoja, mtafute Maisha .

Ukisema uishi naye bila Ndoa huku unatafuta

Wewe ni Mungu eeeh, kujua lini utayapata Maisha??.


Pili, utaingiwa na shetan wa kumchoka

Tatu,, ikitokea umepata, utamwona hafai na kwakua hujamuoa, utatafuta sababu ya Kumuacha .

Hivo fungal Ndoa ,Ishi naye as long as Love is pure !!.



Vijana nawaasa,. OENI... achaneni na mashoga na ma LGBT yanayopinga Ndoa Kila kukicha kisa yako kwenye miaka 18----40 .
 
Back
Top Bottom