Na mimi nimeona hiyo LEGE, swali langu ni huko hospital alienda mara ngapi? Maana kuna tweets ambazo zinaashiria alikuwa hospital ndani ya hizi siku tano, what was she surfering from? She suspected death coming her way (from her tweets), was she seeing it coming from haters (like kutekwa na...
Unless otherwise muwe mmefunga ndoa ya kiislamu, ila kama ni ya kikristo, nafasi nzuri ilikuwa kumkana kanisani, (kumuonyesha inaumaje kukanwa na mwenzio). Ulikubali kufunga hilo agano na umefunga na Mungu kwa ridhaa yako mwenyewe. Usilifanyie utani. Sasa hivi pia yaweza kuwa muda wako wa kuvuna...
Kama una hulka ya kuwanyanyasa na kuwafanyia vitimbi vya ajabu na udhalilishaji na kucheza na hisia zao kama mume wa huyo dada mtoa thread, basa hata mimi nakushauri, NEVER TRUST A WOMAN!! Ila kama huna hizo tabia mbofu mbofu, JUST BE AT PEACE WITH THEM.
Sent from my BlackBerry 9810 using...
Mmm hilo jina lako...! Mara ya kwanza kuliskia nlifafanuliwa kuwa "ibilisi" ndio "fallen angel" maana yeye ndiye malaika aliyeangukaga (ofcourse na malaika wengine wengi lakini yeye ndio alikuwa kiongozi wao). Alianguka baada ya kitaka kuabudiwa yeye badala ya Mungu. Yawezekama hujui maana yake...
Listen, kuwa karibu na Mungu wako, punguza ukaribu na mkeo kuminimize chances za mauzi. Epuka kushinda nyumbani wakati yupo. Tafuta shughuli yoyote ya maendeleo ya jamii ushiriki. Usiue, utawatesa watoto bila sababu za
msingi na pia dhambi za huyo umuuaye zitakuwa juu yako.
Sent from my...
May The LORD God give your soul and Eternal Peaceful Rest Dr. E S Mvungi. Damu yako na iwe juu ya waliyoshiriki kuimwaga, Hukumu ya Mungu Ikawe juu yao!! Faraja ya Mungu Ikawe na mkeo, watoto wako, ndugu zako na wale wote waliougua mioyo yao kwa uchungu wa kukupoteza. Pumzika kwa Amani baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.