Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
1: hakuna mtu yeyote (s/he) anayependa condom
2: wanawake wa kawaida (wasio kibiashara) making love to them ni kitu kinachoinvolve emotions unlike wanaume sometimes ambao kwao ni hitaji la mwili tu.
3: sidhani kama mwanaume anapovaa condom humwambia au humfanya mwanamke ajione kuwa analindwa/protected zaidi wanaonesha wao wanajiprotect against mwanamke. Laiti kama wangejadiliana vizuri na kuoneshana kuwa ni for their own good nafikiri wanawake wangekuwa at easy!
Mfano mzuri ni pale wanapoepuka mimba; hapo hutumia vizuri bila mmoja kumuona mwenzie kuwa ni ugonjwa/kifo. Ni role ya kina baba kupractise matangazo ya salama; matumizi ya condom yaoneshe ni kwa ajili ya kumlinda zaidi ya kujilinda wewe! Walioko kwenye biashara have huge control ya emotions zao, kwani siku zote wanakuwa regarded as b.tches.
Ni mtazamo wangu tu!
2: wanawake wa kawaida (wasio kibiashara) making love to them ni kitu kinachoinvolve emotions unlike wanaume sometimes ambao kwao ni hitaji la mwili tu.
3: sidhani kama mwanaume anapovaa condom humwambia au humfanya mwanamke ajione kuwa analindwa/protected zaidi wanaonesha wao wanajiprotect against mwanamke. Laiti kama wangejadiliana vizuri na kuoneshana kuwa ni for their own good nafikiri wanawake wangekuwa at easy!
Mfano mzuri ni pale wanapoepuka mimba; hapo hutumia vizuri bila mmoja kumuona mwenzie kuwa ni ugonjwa/kifo. Ni role ya kina baba kupractise matangazo ya salama; matumizi ya condom yaoneshe ni kwa ajili ya kumlinda zaidi ya kujilinda wewe! Walioko kwenye biashara have huge control ya emotions zao, kwani siku zote wanakuwa regarded as b.tches.
Ni mtazamo wangu tu!