Recent content by Mendez tk

  1. Mendez tk

    Hatudharau chanjo ya corona Tanzania, tunasubiri majaribio zaidi kabla kuitumia

    Sioni wakizungumzia kupima watu kwa kipimo kipya au hawapimi
  2. Mendez tk

    Rais Magufuli: Huwezi kutengeneza ajira milioni nane bila viwanda, itakuwa ni ndoto

    Million nane mbona Nyingi Mpaka sasa ametengeneza ngapi.
  3. Mendez tk

    Ndugai alikuwa Tetele sasa kawa Njiwa Manga

    Mbovu mbovu mbovu
  4. Mendez tk

    Mbunge Taletale: Rais Magufuli nakushukuru kwa kunitoa chini kabisa na kunifikisha juu nikiwa kijana mdogo kabisa bungeni

    Ndio maana mnaongea yasioeleweka bungeni Kumbe ulipelekwa pelekwa na mwenyikiti.
  5. Mendez tk

    Esther Bulaya: Mimi ndiye kipenzi cha Wana Bunda

    Anajifariji tu nakujikosha Hivi akiulizwa yeye ni mbunge wa chama gani atajibu nini?
  6. Mendez tk

    Dkt. Kimei: Wizara za Kilimo na Viwanda kupewa 6% ya bajeti will never work. Ukusanyaji mapato ni mdogo, au huenda GDP ya Tanzania iko overstated

    Kimei ni msomi anayetumia taaluma kwa jamii, Tatizo anaongea mbele ya spika na Wabunge hawa hawa kina taletale na baba gwaji ma
  7. Mendez tk

    Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona

    Tatizo vipimo ni ghali Sana tungepimwa wote ingesaidia Tatizo viongozi wengi walafi wanaacha kujikata mishahara yao tukapimwa corona Angalau
  8. Mendez tk

    Pale mtu anapokosa utu: Ipo wapi busara na hekima ya Mwanadamu?

    Wengine hatujawahi kuiona inapatikana wapi? tuone Angalau ndio nichangie
  9. Mendez tk

    Nimehamia kwenye nyumba yangu bila kuizindika

    Watakulaza juu ya paa ndio utaelewa
Back
Top Bottom