Pale mtu anapokosa utu: Ipo wapi busara na hekima ya Mwanadamu?

Siri ya sifuri

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
2,005
1,489
Habari zenu wakuu?

Utu umekanyagwa ubinadamu umepuuzwa na inavyoonekana hatma ya thamani ya kila kiumbe ipo mikononi mwake yeye mwenyewe.

Hoja yangu inawezekana kuonekana kuwa nyepesi kwa wale watakao ichukulia juu juu ila kwa watakao itafakari wataona uzito na umuhimu wake.

Naamini mlio wengi kama si nyote mnaijua na mnaiona midoli ya kiume na y akike inayotumiwa na wafanyabiashara wa nguo, inapendeza na kuvutia pale inapokuwa imevishwa nguo lakini inakera na kuudhi unapoiona bila mavazi.

Inafikirisha kwakweli hakuna tofauti yeyote na mtu aliekua Uchi, ni uchi zaidi ya uchi wa mnyama. Mdoli wa mwanamama uliochongwa vizuri vizuri kabisa, ukionesha maungo yake ya sirini yote kwa uwazi kabisa umesimamishwa nje ya duka katika ya mji eneo lenye watu umati kila apitae anaona. Mama zao wanaliona ,baba zao wanaliona, wake zao na watoto zao wote wanaliona sisemi wanaliangalia maana wapo wanaolaani sana ila hawana hatua ya kuchukua.

Kuna wakati unaweza kuona hakuna tofauti ya mwenye akili na chizi kwa matendo yao isipokuwa mwenye akili anakusudia na chizi anafanya pasi na lengo maalum.
 
Hili jambo ni kweli kabisa mkuu, midoli ikiwa haina nguo haina tofauti na binadamu akiwa uchi ukizingatia rangi za midoli inaonekana kwa urahisi machoni, ujumbe uwafikie wahusika.

Mimi binafsi peni tuu ikikosa kizibo nakosa amani.
 
Jambo hili linahitaji tafakuri kubwa! Una pointi, ... ! Hii midori iliyozagaa madukani mingine inadharirisha utu wa mama zetu.
Sijajua wanakwama wapi, kunashida gani kuuvisha nguo kabla ya kuutoa nje!? Unaukuta upo mtupu kabisa chuchu zimesimama wima, makalio yaliojazia yametenganishwa vyema kabisa na mapaja mawili yalionona, Kilichokosekana ni tundu tu pale kati. Nilikereka nilipohisi kudindisha kwasababu ya mdoli!!
 
Rudini vijijini ng'wang'omango, mjini sio mahali Penu, hyo midori inauzwa , anayenunua ndo kazi yake kuivisha kuvutia wateja kulingana na nguo ilivyomkaa mdori.... Anayeuza midori na yeye avishe ?? Wateja wake watajuaje?....msije mkaenda beach mkabaka watoto wa watu, mana huko utaona live live
 
Rudini vijijini ng'wang'omango, mjini sio mahali Penu, hyo midori inauzwa , anayenunua ndo kazi yake kuivisha kuvutia wateja kulingana na nguo ilivyomkaa mdori.... Anayeuza midori na yeye avishe ?? Wateja wake watajuaje?....msije mkaenda beach mkabaka watoto wa watu, mana huko utaona live live
Akili anuai....! Tunashida kwenye malezi ya sasa
 
Mkuu kwanza inatakiwa tukubali Sasa tupo katka soko huru nikimaanisha ubepari kwa hyo hyo n ngumu sana kubadilika

Nje ya mada mkuu huwa unadindisha ee ukiona mdol wenye.msambwanda Kama wa sanchi world
 
Rudini vijijini ng'wang'omango, mjini sio mahali Penu, hyo midori inauzwa , anayenunua ndo kazi yake kuivisha kuvutia wateja kulingana na nguo ilivyomkaa mdori.... Anayeuza midori na yeye avishe ?? Wateja wake watajuaje?....msije mkaenda beach mkabaka watoto wa watu, mana huko utaona live live
mkuu ninacholalamikia mimi ni ile tabia ya kuuweka mdoli nje bila nguo wakati kazi yake ni kuonyesha jinsi nguo itakavyomkaa mtu atakapoivaa. Kuuweka bila nguo ni kinyume na matumizi.
 
Itategemea na utakavyoukuta, wakati mwengine unaweza kurudi home mapeeema kwa wife ili urekebishe mambo!!
Mkuu kwanza inatakiwa tukubali Sasa tupo katka soko huru nikimaanisha ubepari kwa hyo hyo n ngumu sana kubadilika

Nje ya mada mkuu huwa unadindisha ee ukiona mdol wenye.msambwanda Kama wa sanchi world
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom