Well said Chakaza, Lameck alikuwa mtendaji mzuri sana tangu akiwa naibu waziri Wa Fedha hadi waziri Wa kilimo na mifugo, lakin sielewi nn kimempata sasa
Smart clothes can no be like Smart Brains Bibi Faiza Foxy, GA Werema aliwahi kumwambia Lisu kuwa hajui kufunga tai, then Lisu akamjibu ni kweli hajui kuvaa vizuri lkn yeye(Werema) he Zero in his brain!!! Bibi njoo nursery tuimbe wote;
Mkuu sometimes be serious,!! Huyo mtu yuko serious anahitaji Kazi,! Na amekuambia hospital yoyote, na siyo nyumban Kwa mtu, he, huyu jiran yako yuko home or ?
Mkuu uko sawa kabisa, yaani sijamwelewa kabisa huyu Kalimanzila,; anataka kutuaminisha kuwa; Drugs Dealers ndo wamesuka mpango Bashite apate Zero kwenye masomo yake!?? Ndo walimtuma akavamie studio ya clouds usiku? Ndo walimtuma ampige makofi Mzee Joseph Warioba?!!? Tuwe wakweli tu huyu Bashite...
Mawikili wote ( hasa members Wa TLS) ni wasomi kinoma, sorry hivi wewe ni " miss natafuta" nn ? Elimu, mambuzi, au wachumba? Na walakini na Elimu yako!!!
Mkuu uko sawa kabisa, ccm walinyanganya Mali za umma kijanja kijanja. Nakumbuka kuna uwanja mmoja ulijengwa 1984, mchango ulikuwa ni lzm Kwa kila MTU, haijalishi we ni mwanaccm au la!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.