though ni Uzi wa kitambo, ndo nmeona now! si vibaya kusema nafkiri kuna kitu hakikuwa Sawa! charter za vyuo vingi naona VCs wanateuliwa na Chancellors, so ni ajabu Kwa huyu wa SUA kuteuliwa na President
Nkusaidie navyoelewa mimi kama kweli una maanisha na sio kutuchora.
1. Advance Diploma ni equivalent to Bachelor Degree, hvyo huwez sema uchukue one of those kwa kukosa the other; ila tu cku hizi hamna Chuo kinahotoa Advance Diploma
2. Kuna Taasisi/Vyuo vilivyosajiliwa na na NACTE na kutoa...
naona watu humu kila mmoja anataka kusifia Chuo alichosoma na kuponda vingine! let's argue or comment as intellectuals!!
binafsi sijaelewa vigezo dhahiri vilivyotumika na hiyo site!!! na nikijarbu kufukunyua nakuta some of their data za vigezo haziko 100% valid! so I personally doubt these...
Ahksante mleta Uzi, topic yako very fantastic
Ila naongezea tu Pia Kuna ile ambayo ipo common wealth Maana Sie tunazitumia! endapo askari wa chini hajavaaa kofia, hata akiwa kiraia anabana mikono kwa ukakamavu, na endapo Ana salute to very high officer atapiga na miguu chini!! lakini Pia Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.