Recent content by Meja mstaafu

  1. Meja mstaafu

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Ni nini tofauti ya DPM na Dpc?
  2. Meja mstaafu

    Simba pale kwa Che Malone tumepigwa

    Kweli kabisa
  3. Meja mstaafu

    Simba pale kwa Che Malone tumepigwa

    Eti eeh
  4. Meja mstaafu

    Simba pale kwa Che Malone tumepigwa

    Wanaojua mpira walisema toka siku ya kwanza amefika..
  5. Meja mstaafu

    Kibwana Shomari bado ni beki mzuri na mbishi hasa

    Hamna mchezaji pale, wewe subiri siku akutane na winga teleza ndio utakua.
  6. Meja mstaafu

    Uliza chochote kama umekwama kupiga windows ama kuingiza operating system kwenye PC ama computer yako

    Ninatumia window 8.2 Exel hazionekani naweza kuipata vipi ndugu?
  7. Meja mstaafu

    Majina ya watu ya Asili kama vile ya kikabila na ya kiswahili uenda yakatoweka

    Ulimbukeni ni tatizo kubwa kwa jamii ya waafrika. Nina watoto 4 majina yao ni 1. Baraka 2. Upendo 3. Maseko ( Mavuno) 4. Kisaka ( Dunia)
  8. Meja mstaafu

    Taifa Stars ya sasa ndio timu bora kuwahi kutokea wachambuzi wa mchongo wapuuzwe

    Hao machotara hamna kitu, kama yule mnoga ni jinga kabisa.
  9. Meja mstaafu

    Njia ya kudhibiti kunguru wananirudisha nyuma

    Kenge ulifanyaje wananisumbua sana.
  10. Meja mstaafu

    Harmonize ataimba nyimbo zote ila hizi ni hatari

    Hivi ule wenye beat ya les wanyika unaitwaje
  11. Meja mstaafu

    Natafuta Mwenza (Mke)

    Sifa zangu 1. Mkristo( dhehebu A.I.C) 2. Nina miaka 30 3. Mwenyeji kanda ya ziwa. 4. Elimu shahada ya kwanza (sijaajiriwa, nipo nashughulika na kilimo) 5. Urefu 165cm, rangi ni maji ya kunde. 6. Mpole sana kijana mwenye hofu ya Mungu. SIFA ZA MKE NINAYEMHITAJI 1. Umri miaka 20-25 2. Dini...
Back
Top Bottom