Aisee kuna panya alikula waya wa subwoofer yangu, nawasha haiwaki, kutikisa subwoofer yumo ndani tena ana watoto wanne, haaaa, nilichompatia yeye na familia yake ndio wanajua.
Viashiria vya maisha kuwa magumu
1. Ukila hushibi, unadanganya tumbo kidogo tu
2. Usafiri wako wa kila siku haukufikishi hadi mlangoni, mfano unaishi ubungo unafanya kazi posta. Zamani ukishuka ubungo unachukua bodaboda hadi mlangoni, siku hizi unaukanyaga wa mguu hadi mlangoni
3. Gari yako...
Ukisikia gundu ndio hilo, mmetongozana siku moja iliyopita tu, tayari
1. Birthday ishafika
2. Anataka akasuke
3. Anahoma anataka aende hospitali
4. Kodi ya nyumba imeisha
5. Gesi imekata
6. Atafukuzwa chuo kwakuwa hana ada
7. Hana hela ya kula
8. Mama yake mzazi ni mgonjwa sana
9. Simu yake...
Ingekuwa upo uwezekano wa kuagiza umeme kutoka ughaibuni, amini nakwambia kuna vigogo wasingekuwa wanatumia huu wa tanesco. Laiti kama ingekuwa kumlipa mfanyabiashara mmoja wakitanzania mihela yote kwa bidhaa au huduma anayozalisha, hakika leo hii tangu uhuru nchi nzima ingekuwa na umeme pamoja...
Wengine hawa hapa
Hongera umejishindia million tano[5,000,000], kwenye droo za. <DAKA NA TIGO PESA>. kamp no:15572 ya TOXXQF66GV. piga 0713677389 kupata pesa yako.
Iko hivi, itokee mmependana, ikiwa tofauti, yaani mwanamke hajapenda, basi mwanaume utaombwa hela hadi ukimbie mwenyewe. Ama mwanaume ikiwa hajapenda, basi mwanamke atatumika hadi akimbie mwenyewe, hata nauli ya kuondokea hatokuwa akipewa.
Lakini ikatokea mmependana, mwanamke hatoomba pesa na...
Wanastaafu na kupokea mafao yao, na wanabugi kwenye matumizi kama kawa, na wanagongea bia wakichoka, utawasikia naweza kukuunga kule mimi. Unamchekiiiiii halafu unamwambia staafu kwa ufahari mzee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.