Sitorudia tena kumwambia mwanamke ntamuoa mapema mapema.

Sitorudia tena kumwambia mwanamke ntamuoa mapema mapema.

Umeomba namba mwenyewe, ghetto umempeleka mwenyewe, ulimuelewa mwenyewe , leo hii kosa lake ni kukuelewa. Huna jema wewe.
 
Yaani hadi nimemshangaa huyo kijana aisee!
Hivi kwani kila tatizo la mtu lazima liwe tatizo kwako, mbona mna upeo mdogo sana, kuna wengine wanavuta sigara lakn mwingine akisikia tu moshi wa sigara kichefuchefu anapata, sasa kama hamuoni tatizo sababu ya maugwadu yenu mie nnauhakika wa kupata pussy wakati wowote.
 
Mungu akupe nn Sasa, ??,we ndo mwanaume vitu vidogo Sana hivo, Kuna factor za mcngi ili awe mke, zingatia hizo
 
Boss umekula mara 2 tu umechoka? Hahaha wewe sio mpigaji..... Na nakuhakikishia utajua... Mara 2 chache mnoooo
 
Habarini wanaforum wenzungu.

Kwakweli tabibu nimejikuta napata wakati mgumu sana kushughulika na huyu binti kwani usumbufu ninaoupata ni wa hali ya juu sasa takribani wiki sasa.

Ilianza hivii.....

Wiki kama mbili zilizopita mbobezi katika tiba za minyoo nilikua nimetulia zangu mitaa flani hv na mwana tunapiga stori mbili tatu, mda ukapita wakatokea warembo wawili hv wakajimix ile sehem tulipokuwa tumechill. Sasa kuna mmoja akawa amenigusa sana.

Ile tunaamsha na soja wangu nikajipitisha karibia na ile meza walipokuwa wamestay nikajitambulisha [tabasamu kubwa usoni] na nikamuomba namba moja kwa moja, kwakweli kutokana na muonekano wangu ilichukua takribani 90 sekunde tayari namba ya yule mrembo ikasomeka kwny screen ya simu yangu.

Nilibahatika kuwasiliana na yule mrembo akawa dizaini amenielewa pia,
Kosa kubwa nililolifanya ni kumtamkia mapema kuwa ningependa awe mchumba wangu na ikiwezekana mke wangu. Sababu zikiwa kabila lake, dini yake pamoja future yake ipo bright sana bila kusahau mafurushi.


Takribani siku nne zikapiata tukaona sio mbaya tutest mitambo kidogo, Mwanzoni niliinjoy sana lakn kwakweli huyu mwanamke anaonekana ni mbobezi sana yani niliufukunyua mpaka nikasanda mwnyw, kesho yake akataka aulete tena nikamwambia nipo bize, akauleta tena kesho kutwa yake nikadili nao tena nikaona ss inetosha.

Kwakweli spidi ya huyu binti imenichosha mbaya yani yeye kila akipiga simu au akituma sms yani unaona anakuwa na lengo la kuja mageto tu mara amenimiss, mara anataka kuona tabasam langu mara anataka kuja tuchek movie wote.

Kwakweli naona anatumia nguvu nyingi sana kuni-impress.

Na mm naona kama nimemchoka ndani ya muda mfupi na mawazo kama yamebadilika hivi ghafla.
Mzee baba hio mbunye sio tamu kiukwel kabisa maana kwa nnavojua mm K ikiwa tamu hasaa huwezi kuiacha kizembe ivo
 
Habarini wanaforum wenzungu.

Kwakweli tabibu nimejikuta napata wakati mgumu sana kushughulika na huyu binti kwani usumbufu ninaoupata ni wa hali ya juu sasa takribani wiki sasa.

Ilianza hivii.....

Wiki kama mbili zilizopita mbobezi katika tiba za minyoo nilikua nimetulia zangu mitaa flani hv na mwana tunapiga stori mbili tatu, mda ukapita wakatokea warembo wawili hv wakajimix ile sehem tulipokuwa tumechill. Sasa kuna mmoja akawa amenigusa sana.

Ile tunaamsha na soja wangu nikajipitisha karibia na ile meza walipokuwa wamestay nikajitambulisha [tabasamu kubwa usoni] na nikamuomba namba moja kwa moja, kwakweli kutokana na muonekano wangu ilichukua takribani 90 sekunde tayari namba ya yule mrembo ikasomeka kwny screen ya simu yangu.

Nilibahatika kuwasiliana na yule mrembo akawa dizaini amenielewa pia,
Kosa kubwa nililolifanya ni kumtamkia mapema kuwa ningependa awe mchumba wangu na ikiwezekana mke wangu. Sababu zikiwa kabila lake, dini yake pamoja future yake ipo bright sana bila kusahau mafurushi.


Takribani siku nne zikapiata tukaona sio mbaya tutest mitambo kidogo, Mwanzoni niliinjoy sana lakn kwakweli huyu mwanamke anaonekana ni mbobezi sana yani niliufukunyua mpaka nikasanda mwnyw, kesho yake akataka aulete tena nikamwambia nipo bize, akauleta tena kesho kutwa yake nikadili nao tena nikaona ss inetosha.

Kwakweli spidi ya huyu binti imenichosha mbaya yani yeye kila akipiga simu au akituma sms yani unaona anakuwa na lengo la kuja mageto tu mara amenimiss, mara anataka kuona tabasam langu mara anataka kuja tuchek movie wote.

Kwakweli naona anatumia nguvu nyingi sana kuni-impress.

Na mm naona kama nimemchoka ndani ya muda mfupi na mawazo kama yamebadilika hivi ghafla.
Hizi tamaa za Kutaka kuwaonja mabinti za watu kwa kisingizio cha Ndoa kitawaponza.....
 
Mzee baba hio mbunye sio tamu kiukwel kabisa maana kwa nnavojua mm K ikiwa tamu hasaa huwezi kuiacha kizembe ivo
Duh! mzito, kama kuna ukweli flani hivi.
Ya kwake ni kama daraja la pili hivi kutoka mwisho yani chachuu, kubwa balaaa afu haina mabonde mabonde ndani yani bora hata upate dem sura mbaya lakn kitu tight flani,
Kwakweli kuna zingine mwanamke hajawahi kuzaa lakini saizi yake ya staajabisha sana unabaki jiuliza tu kulikuwa kuna matumizi gani ya ziada yalikua yanafanyika tena kwa hiyo bidhaa.
 
Sanawake wa dizain hii ndo wenyewe sema we kazi ngumu huziwezi ushazoea unamaliza mwaka huja fanya
Mimi mpaka sasa sioni tatizo hapo.

Hivi kumbe kuna wanaume wenzangu pia hamjui mnachokitaka?
 
Hukumpenda,haiingii akilini mtu umpendae awe usumbufu kukuona,,,,ulimtaka kujifunzia ngono...si ungenyakua dada poa tuu,,,kuliko kumdanganya dada wa watu ambae ame INVEST feelings kwako...
Umeoana eee anatuaibisha wanaume wa nguvu
 
Back
Top Bottom