Recent content by mee

  1. mee

    Nimepigwa na house girl

    KWA MSHAHARA a 20,000 kajiongeza kwa kujilipa kama miaka mitatu
  2. mee

    Huyu demu kanitosa kisa elf 3000

    unadhani angekuomba sh ngapi ungetoa na usingekuja kundika huku JF?
  3. mee

    Huyu demu kanitosa kisa elf 3000

    ELFU TATU? Duh hauko siliazi aise na watoto wa kike basi baki na elfu tatu yako maana nakuona una safari ndefu kama vile hautafika kabisa
  4. mee

    Mke wangu mchoyo anapika chakula kidogo sishibi kabisa

    ukiona umepika chakula kidogo nikifika usipakulie ova!
  5. mee

    Tecno k9

    subiri mapovu kutoka sumsang users
  6. mee

    Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

    kupenda kubaya sana chongo kenheza, pengo mwanya kila mtu na abaki na mapenzi yake naamini miss Tz sio ndo mzuri kuliko wengine Tz
  7. mee

    Ama kweli "loose Goat don't know how tied Goat feeling"

    braza sijui umekulia mazingira gani, ila mpaka mtu aje aoe au aolewe huko nyuma mara nyingi ni balaaa, angalia watu wanaoolewa mazingira ya nyumbani kwao au walipokulia ni wachache sana hapo kubwa ni kwamba wale wanaomzunguka wanajua kinachoendelea na huyo mtu ndo maana hawezi olewa pale ila...
  8. mee

    Ama kweli "loose Goat don't know how tied Goat feeling"

    utasubiri sana kumpata ambaye hajapigwa jana na juzi, wote wanapigwa tu mchukue mpe masharti ndo ataaacha kama muachaji labda usime usiambiwe ukweli ndo utamwamini swali la kizushi kwako unazani ni mwanake gani utamtaka wewe awe hana mtu labda miezi sita?
  9. mee

    Top teni (10) ya watu maskini Tanzania.

    Matonya hakuwa masikini wa mwisho, matonya na kazi yake ilikuwa ni kuomba kuomba na alikuwa ameajiri mtu wa wa kumtembeza kuomba
  10. mee

    Binadamu kuishi milele - Kama zoezi la kuunganisha ubongo na mfumo wa komputa litakamilika

    NADHANI inawezekana hapo baadae maana kuna siku nimeona taarifa ya habari watotowamepandikizwa vifaa vichwani kusaidia kusika nadhan vitakwa compturised vile
  11. mee

    Biashara ya korosho

    nimekaa miaka mitano huko nilkuwa nakwamishwa na mtaji tu aise ila ni biashara ya muda mfupi na inalipa na msimu umeanza kama unataka kuwekeza wahi sasa
  12. mee

    Mwanaume ikiwa unafanya haya usilalamike mpenzi wako au mkeo akichepuka

    unamuachiaje hela ya saloon wakati umerudi na 7000 toka kuponda kokoto huku umechoka mpaka mkia, kama ww mungu kakujalia kipato au ni juhudi zako sawa, haupo ndo na yy anapata muda wa hao mashoga wanomshawishi uta brock kwa style gani? mungu akikupa mke mwenye busara ume win, ila akikupa mke...
  13. mee

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Bro kama una mtaji mzuri nenda sasa kusni msimu wa korosho umeanza kanunue korosho hutojutia hela yako amini nakwambia.
Back
Top Bottom