Recent content by medyh99

  1. medyh99

    Nakusanya mawazo kwenu wana familia

    Je, utafanya nini ikiwa una mahusiano na mwanamke na unampenda sana ila kila mkikosana wewe na yeye, unapokea vitisho na meseji za ajabu kwa wazazi wa mtoto ili hali wewe hujawahi kujitambulisha kwa wazazi wake? Je utaamua kumuacha na umegundua unampenda sana? Au utavumilia??
  2. medyh99

    Chalamila mjanja sana. Kwa ahadi zile Alijua tu Stars haivuki

    Wamekulaga sana hela za goli la mama wakajisahau😂😂😂
  3. medyh99

    Kwanini upo single?

    Ukiwa single ni raha full ma enjoyment tu
  4. medyh99

    Sio siri tena, Gamondi ameshafukuzwa sijui Yanga wanaficha nini?

    Duuh ila mchango wake unaonekana
  5. medyh99

    Picha za Tamasha la Jenifa Lopez Saudi Arabia

    Kwani kuna shidoo
  6. medyh99

    Msaada kuhusu Loan Board

    Nashukuru sana mkuu
  7. medyh99

    Msaada kuhusu Loan Board

    Nashukuru mkuu
  8. medyh99

    Msaada kuhusu Loan Board

    😁 Sawa mkuu
  9. medyh99

    Msaada kuhusu Loan Board

    Mfumo haufunguki mkuu
  10. medyh99

    Msaada kuhusu Loan Board

    Ni changamoto kwel mkuu
  11. medyh99

    Msaada kuhusu Loan Board

    Mkuu kuna process gan nizifuate mkuu pengine labda hela na vingine naomba unijuze mkuu
  12. medyh99

    Msaada kuhusu Loan Board

    Mlioanza application za loan board naomba uzoefu wenu maana nimeanza application asubuhi hii lakini mfumo haufunguki
Back
Top Bottom