Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

Wanne mkuu,
Halafu nampenda sana huyu mwanamke, she's the definition of an African lady kuanzia muonekano, shape hadi akili.
CC: Atoto
Hongera sana mkuu mtunze huyo mchuchu vizuri ni tunu kubwa sana usije ukampoteza wahuni wakimdaka umekwisha 😜😜😜
 
Kila kitu kipo kwa sababu, watu wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa sababu mbalimbali zinazoeleweka kabisa kama kujenga familia nk.

Sasa kwa nyinyi mlio single Nipe Sababu ya msingi kabisa kwa nini upo single?.
Binafsi siamomi mwanamke yeyote zaidi ya Mama yangu mzazi na dada zangu tu
 
Mie juzi tu mtoto kaja kusimama mvua kwa shop, Eeh bana si kimasihara nikaomba namba kakatoa haka kafesti yea😀😀 basi sikutaka kuzunguka baada ya stor mbili tatu nkasema naomba niulipie muda wako kakajibu fresh! Ila nomba nilipie 35000 ya bima, nilipie na kiatu pale dukani nilipokukuta coz nilikipenda japo sikujaribishaa😄😄🚮 kwa staili hii niache nibaki singooo
 
Kwahiyo ninyi mlio oa mna mahela sana eeh.

Mnadhani hatuwaoni mtaani mnavyoishi na familia zenu ?.Wengi wenu mlikurupuka tu na sasa ivi mnajutia maamuzi yenu ya kijinga.Mnazaa na kuvitesa viumbe visivyo kuwa na hatia.

Unakuta mtu anaishi na mke wake na watoto wawili lakini cha ajabu anashindwa hata kuipatia familia yake balance diet.

Watoto wanakula mboga za majani kila siku kama vile hakuna vitu vingine vya kula.
😀😀
 
Back
Top Bottom