yes i got dat ilikuwa kwenye 1990's sikumbuki excactly year but uyu jamaa alopiga picha alipewa tuzo ya best photographer that year ila its true finnaly alijisuicide commit kwa kuona kitendo cha kumshuhudia mtoto akiliwa mpaka kufa it was not Humanity
yaan kumbe mtu akitoa kikubwa next time anakuwa mbungee duu we jamaa mbona akili yako hafanani na unachoongeaa.....!
but my take .....we jamaa ni uvccm na umeanza kampenii siyo but
kwa dizaini hiyo umechemkaaa...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.