Na apewe tu urais
.................ى
mbona huyu mrembo anafanana sana na mrembo miss neddy? kila kona nikichungulia namuona yeye tu
Mmmmh wewe ni muongo sana,
kaka miss neddy namfahamu kiundani.... Jiulize kwanini sijataja wengine! teh....
Ni muongo haumfahamu, na umemtaja kwa sababu
kwani nani yako? mbona kama nakuharibia kwa miss neddy?Sababu unayo, lakini wewe ni muongo,
Nani huyu?