Isipo kuwa PGM nadhani haijawahi kutoa TO, na geography ndo sababu kubwa so aliye kuambia geog n rahisi sawa lakini A za Physics n nyingi na rahisi kuzipata pamoja na Math, lakini A za geog ni chache sana pamoja na urahisi unao zungumzwa, kikubwa kapige shule PGM ipo poa tu!
Nadhani CWT ni lazima lakini vyama vingine siyo lazima, mimi siyo mwalimu lakini ninavyo jua asilimia kubwa ya wafanyakazi ni walimu na kila mwalimu lazima achangie kwamaana hiyo CWT haikupaswa kuwa ilivyo wananufaika wachache tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.