Recent content by Meco_thom

  1. Meco_thom

    Wanachama wa CCM Ruvuma wacheza ngoma kumpongeza Magufuli!

    Utakuta kunawajiitao wasomi ambao tunategemea kujenga nchi noa WAMO[emoji37]
  2. Meco_thom

    Magufuli ayathibitisha tuhuma za Mnyika.

    Hawakuwaelrwa wapinzani na hata baada ya tamko la mkulu bada hajawaelewa wapinzani, mikataba kupelekwa bungeni ndo kilio cha wapinzani.
  3. Meco_thom

    Msaada wa mawazo kuhusu combi ya PGM

    Isipo kuwa PGM nadhani haijawahi kutoa TO, na geography ndo sababu kubwa so aliye kuambia geog n rahisi sawa lakini A za Physics n nyingi na rahisi kuzipata pamoja na Math, lakini A za geog ni chache sana pamoja na urahisi unao zungumzwa, kikubwa kapige shule PGM ipo poa tu!
  4. Meco_thom

    Msaada wa mawazo kuhusu combi ya PGM

    Hao walimu wako hawana sababu za msingi, mimi nilisoma hiyo PGM hapo ifunda unapotarajia kwenda now am a Computer Engineer, kapige shule ya PGM!
  5. Meco_thom

    Rais anataka kuwahadaa wafanyakazi

    Nadhani CWT ni lazima lakini vyama vingine siyo lazima, mimi siyo mwalimu lakini ninavyo jua asilimia kubwa ya wafanyakazi ni walimu na kila mwalimu lazima achangie kwamaana hiyo CWT haikupaswa kuwa ilivyo wananufaika wachache tu.
  6. Meco_thom

    Urusi yasema Uingereza ikiichokoza, itaifuta kutoka uso wa dunia!

    Sisi tutajikinga na matofali yetu kichwani
  7. Meco_thom

    Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

    Utasikia yule mshereheshaji anasema "kwa mtu yeyote anaye taka kuleta fujo ajue tupo vzuri" so wanajpanga kwa wapinzani tu
Back
Top Bottom