WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,064
- 823
Umezaliwa tanzania huwezi kukwepa. Wanacheza ngoma. Wanawake wanavaa hijab wenginewanalala barabarani Nape apite. Ndiyo Watanzania wengi walivyo. Kuna watanzanua wengie huchoma nywele na kuvaa hereni za dhahabu miguuni. Hawana utu, hela ndiyo mungu wao. Ukiwa naye jirani atakuibia na kama ni shambani atasogeza mpaka na mkiwa na ubia kwenye biashara atakuibia akishindwa anakuua. Wana ukabila sana kama ambavyo majizi hushikamana. Hawa nao ni Watanzania lakini siyo wengi ndiyo maana kura zao hazitoshi. Kwa nini usihamie Kenya huko ndiko ukabila hutukuzwa na kila mtu?hivi kwa nn nimezaliwa Tanzania!