Recent content by Mechanical

  1. Mechanical

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ye mwenye kashaona angefunga game ingealibika mapema sana. Sasa ili mchezo uwe mzur wote watafute magoli ya ndochi
  2. Mechanical

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Shida hawa jamaa wa kwaito wabishi kinoma acha waoge njano
  3. Mechanical

    JamiiForums Tanzania HOJA Inakuwaje bei ya kodi TRA kuagiza gari ni mara mbili ya bei ya gari? TRA inatakiwa kuwa inapitia hizi bei

    Mi nahis kwao sio tatizo kubwa. Maana wao wangekuwa wanapitia sheria,kanuni au taratibu zilezile kuagiza magari basi wangeona shida iliopo kwa wote
  4. Mechanical

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Speed of light Hii ngoma alishawahi kuipiga Faisal kwenye mech ya morroco ni fire 🔥
  5. Mechanical

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hii acrobatic ndio walitupiga wale madogo wa mali under17 Hii semi acrobatic ndio walitupiga wale madogo wa mali under17
  6. Mechanical

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hatari tupu
  7. Mechanical

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    😂😂 KAZI IPOOOOO LEOOOOOO
  8. Mechanical

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    SA inachekesha kama sio team yako 🤣🤣
  9. Mechanical

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Leo leo kazi ipo..... 😂😂
  10. Mechanical

    JamiiForums Tanzania HOJA Inakuwaje bei ya kodi TRA kuagiza gari ni mara mbili ya bei ya gari? TRA inatakiwa kuwa inapitia hizi bei

    Kwa kweli TRA wafanye mapitio hizi kodi ni kubwa mimi binafsi naomba zipitiwe upya baadhi ya vipengele
  11. Mechanical

    JamiiForums Tanzania Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni

    Suzuki escudo year 2010/13 inaitajika Bmw x3/x5 year 2011/15 inaitajika Ataetuma naomba anitag .
  12. Mechanical

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mfumo wa TRA(TANESW) unasumbua mara kwa mara

    Naombeni msahada zile auction goods kwenye ule mfumo wa TANESW zinataka uwe na vigezo gani ili uweze kununua bidhaa za mnada maana kila napojalibu kuangalia wap pa kuingia kama individual sipaoni
  13. Mechanical

    JamiiForums Tanzania Tutarajie ongezeko la wagonjwa wa kisukari na pressure

    HAHAHAAAAAAAAA POLENI WAANGA. lilikuwa ni swala la muda tu. Hawa jamaa nilivyoona wanaanza kuja dodoma kujitangaza nikajua kabisa kinachoenda kutokea kitakuwa Pata potea Kwani wao waliotapeliwa wanasemaje???
  14. Mechanical

    JamiiForums Tanzania Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

    Yani sikutanii sio wote ila bahadhi walikuwa wananikela huwezi kukataa kuwahudumia sababu hupo kazn kila pesa inadhamani kwa boss
  15. Mechanical

    JamiiForums Tanzania Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

    Nilishawahi kulala kwenye kibalaza cha pump ya mafuta nikiwa naudumia mafuta sheli, mvua yangu. baridi yangu, roho mkononi nikiofia naweza kuvamiwa mda wowote.....kaz za shift ya night tena zile za petrostation achen kabisa. Nakumbuka siku nimekaa nikawaza kuwa ningekuwa kiongozi wa nchi hii...
Back
Top Bottom