Recent content by Mechanical

  1. Mechanical

    Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni

    Suzuki escudo year 2010/13 inaitajika Bmw x3/x5 year 2011/15 inaitajika Ataetuma naomba anitag .
  2. Mechanical

    Kwa nini mfumo wa TRA(TANESW) unasumbua mara kwa mara

    Naombeni msahada zile auction goods kwenye ule mfumo wa TANESW zinataka uwe na vigezo gani ili uweze kununua bidhaa za mnada maana kila napojalibu kuangalia wap pa kuingia kama individual sipaoni
  3. Mechanical

    Tutarajie ongezeko la wagonjwa wa kisukari na pressure

    HAHAHAAAAAAAAA POLENI WAANGA. lilikuwa ni swala la muda tu. Hawa jamaa nilivyoona wanaanza kuja dodoma kujitangaza nikajua kabisa kinachoenda kutokea kitakuwa Pata potea Kwani wao waliotapeliwa wanasemaje???
  4. Mechanical

    Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

    Yani sikutanii sio wote ila bahadhi walikuwa wananikela huwezi kukataa kuwahudumia sababu hupo kazn kila pesa inadhamani kwa boss
  5. Mechanical

    Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

    Nilishawahi kulala kwenye kibalaza cha pump ya mafuta nikiwa naudumia mafuta sheli, mvua yangu. baridi yangu, roho mkononi nikiofia naweza kuvamiwa mda wowote.....kaz za shift ya night tena zile za petrostation achen kabisa. Nakumbuka siku nimekaa nikawaza kuwa ningekuwa kiongozi wa nchi hii...
  6. Mechanical

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Naomba msahada wa kupata account ya ETS ya v 1.50.1 ambayo itaniwezeshabkucheza online Kama kuna mtu anaweza nisaidia naacha namba yangu hapa 0713342243
  7. Mechanical

    Gamers: what game are you playing right now?

    Yap yap hii yangu mwenyewe PXN ya mchongo ni hatari kabisa
  8. Mechanical

    Bado mnashea umeme? Ijue prepaid submeter inavyofanya kazi

    dodoma mnapatikana eneo gani? au tunaweza kuzikuta tanesco
  9. Mechanical

    Natafuta nyumba au chumba kiwe master

    Natafuta chumba au nyumba iwe master, eneo la Makongo Juu karibu na sheli ya Oryx au iwe mbali kidogo na sheli hiyo lakin upatikanaji wa usafiri uwe ni wa huakika kwenye barabara inayopita katka sheli hiyo. Namba zangu 0713342243
  10. Mechanical

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    1.38- 1.39- 1.40 na 1.41 kwa mbali kama aina mambo mengi
  11. Mechanical

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hamna taarida toyote nimeandika tu kale kamsemo kanako andikwa pale mwisho wa PDF 😂😂
  12. Mechanical

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Limetolewa na; KATIBU SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
  13. Mechanical

    Uzi wa vyakula tu

    Test it..... tunapokea oder na mikoani tunatuma payment ni after satisfied 😎
  14. Mechanical

    Uzi wa vyakula tu

    "life is everyday my friend usicomplecate 🎶 "
Back
Top Bottom