Recent content by mechanical 1

  1. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

    kwangu mm ctaki hata speech nataka utendaji kazi tuu ! JK alikuwa na speech nzuri na mpangiliaji mzuri lkn kafanya nn muache magufuli afanye yake ndio tegemeo la watu
  2. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

    mm nakumbuka nilipokuwa darasa na 5 niliagizwa kununua unga kipindi kile cha njaa ya miaka ya 96 nilipofika njiaani kikakuta bibi mmoja anauza paka nikanunua na kuludi nyumbani bila ungaaa duu nilipigwa bakola kama mvuaaa yaaan ctasahau
  3. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mawazo: Nampenda sana kiukweli

    ww bwana mdogo unataka matatizo : ebu jiulize kwanza unapesa ya kumtunza shopping , kama huna uwezo hata wa kuudumia nywere zake bac ww piga book tuu : pia kwa chuo mtu ambaye yuko comfatable na maisha ni yule asiye na demu sasa ww unafikili ukishampata utapata nn cha ziada ktk maisha yako...
  4. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

    kama ndio ivyo bac ukawa waliona mbali sana wakati wa kampeni zao
  5. mechanical 1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna kuoa kwa hali hii

    kwa kijana anayejielewa vzr na anawatambua hawa watu walivyo ni vyema uweke moyo wako wote , nguvu zaki zote, mali zako , na upendo wako wa dhati katika kusaidia jamiii ili kuikwamua kimaisha cku moja iyo jamaa itakuombea mema , itakukumbuka na itakuenzi kwa kuyafanya yale mema uliyokuwa...
  6. mechanical 1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna kuoa kwa hali hii

    naunga 100% mm 1alipiga kibuti nikaumia sana hadi kufeli baadhi ya masomo chuoni lkn kwa sasa niko poa kuna mwingine kajileta lkn cna hamu na mwanamke tena soo napanga nizae nae mtoto tuu nichukue mtoto yeye atafte mwingine pia imenisababisha nimekuwa katili ktk mapenzi naona hata kuongea nao...
  7. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    nitakuchek mkuu
  8. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Wauza laptop tukutane hapa

    nitakuchek mkuu
  9. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Electrical design software

    vzr mkuu
  10. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Kelele zote uwezo bomba la gesi megawati 300 tu

    na ww usiwe na akili fupi kuna generator zinazoendeshwa kwa diesel engine , steam turbine , gasouline engine
  11. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha research

    mkuu icho hapo
  12. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha research

    mm ninacho mkuu nafikili kinaweza kuwa cha mhindi pia so ni PM
  13. mechanical 1

    JamiiForums Tanzania UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    lowasaaa
Back
Top Bottom