kwangu mm ctaki hata speech nataka utendaji kazi tuu ! JK alikuwa na speech nzuri na mpangiliaji mzuri lkn kafanya nn
muache magufuli afanye yake ndio tegemeo la watu
mm nakumbuka nilipokuwa darasa na 5 niliagizwa kununua unga kipindi kile cha njaa ya miaka ya 96 nilipofika njiaani kikakuta bibi mmoja anauza paka nikanunua na kuludi nyumbani bila ungaaa duu nilipigwa bakola kama mvuaaa yaaan ctasahau
ww bwana mdogo unataka matatizo : ebu jiulize kwanza unapesa ya kumtunza shopping , kama huna uwezo hata wa kuudumia nywere zake bac ww piga book tuu :
pia kwa chuo mtu ambaye yuko comfatable na maisha ni yule asiye na demu sasa ww unafikili ukishampata utapata nn cha ziada ktk maisha yako...
kwa kijana anayejielewa vzr na anawatambua hawa watu walivyo
ni vyema uweke moyo wako wote , nguvu zaki zote, mali zako , na upendo wako wa dhati katika kusaidia jamiii ili kuikwamua kimaisha
cku moja iyo jamaa itakuombea mema , itakukumbuka na itakuenzi kwa kuyafanya yale mema uliyokuwa...
naunga 100% mm 1alipiga kibuti nikaumia sana hadi kufeli baadhi ya masomo chuoni lkn kwa sasa niko poa kuna mwingine kajileta lkn cna hamu na mwanamke tena soo napanga nizae nae mtoto tuu nichukue mtoto yeye atafte mwingine pia imenisababisha nimekuwa katili ktk mapenzi naona hata kuongea nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.