Asante, ibada nafanya zote mbili Islam na ukristo ,kanisani naenda na msikitini pia,ila mzee wangu anasema haamini kama Mungu yupo...Anasema pepo na jehanam ipo hapa hapa duniani. Inafikirisha..
Naomba kuuliza kuna Ukoo utakuta hauna mwenye mafanikio hasa kiuchumi, unatumia nguvu kubwa sana kutafuta ilà huendi mbele, maelewano pia hakuna ,je ni mizimu imekasirika au agano fulani la mabàbu au Mungu ndio kapanga hivyo.
Naomba nihamie ukòo wa simba kama inawezekana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.