Recent content by me4u

  1. M

    JamiiForums Tanzania Michuano ya Sprite Bball Kings 2019

    Michuano ya Sprite Bball Kings 2019 inayoandaliwa na EATV, EA Radio kwa kushirikiana na kinywaji cha Sprite imezinduliwa Jumamosi Agosti 17 katika viwanja vya Mlimani City. Huu ni msimu wa tatu wa michuano hiyo, ambapo katika usajili na ufunguzi, timu mbalimbali zimejitokeza kujisajili na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Meza ya kioo ya chakula , laki 3.5

    Kitu gani ambacho hujakielewa kwenye post yangu
  3. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Meza ya kioo ya chakula , laki 3.5

    Bei nimeandika hapo mkuu, shilingi laki tatu na nusu pamoja na viti vyake
  4. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Meza ya kioo ya chakula , laki 3.5

    Habari ndugu zangu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba na sebule ya kupanga choo ndani

    Hiyo na jiko iko eneo gani na bei shilingi ngapi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji gari ya kununua kati ya hizi

    Habari, Nina bajeti ya milioni 5 na ninahitaji gari kati ya hiz Vits new model Toyota alex/Runx Kama unayo tuwasiliane inbox
  7. M

    JamiiForums Tanzania Diamond amfunika Kiba kwenye video views you tube !

    Kiufupi ni kwamba Ali Kiba bado hajatoa video ya Mwana ila ni audio tu ambayo watu walichukua picha picha zake za zamani na kuitengeza kisha kuiweka you yube... Alisema ataitoa Video hiyo muda si mrefu.................. Ngoja kwanza video iletwe ndio ufanye hizo analysis zako
  8. M

    JamiiForums Tanzania TCU wanaonesha nimechaguliwa, lakini chuoni jina langu halipo

    hiyo iliyowekwa ni batch 1, baada ya muda wataweka batch i hope utawemo
  9. M

    JamiiForums Tanzania Bila asilimia 60 hupati usajili wa chuo

    Vipi kuhusu open university usajili?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee kikaangoni live ya EATV

    Yaani hawa washikaji kama walijua vile huyu mdada nina maswali kibao sana juu yake. Awamu hii ya pili ya uongozi wake huku Kawe naona kama amelegea tofauti na pale mwanzo,nimeicheki hii nikaona nishee na na nyie wadau wenzangu, maana hii wanasema unamuuliza swali naye anakujibu katika comment...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo ndani ya Kikaangoni LIVE EATV

    Jamani wapendwa nimeona ni-share na nyie hili, nimepitia page ya EATV na kuona wameweka kuwa kesho katika chat yao ya KIKAANGONI LIVE, watamkaanga mwanzilishi wa Jamii Forums, naamanisha atachati na kujibu maswali ya watu tofauti kuhusu yeye na jamii forums ================================...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Jack Patrick Hana Huruma-Aendelea Kula Bata huku Mumewe Akiwa Anasota Gerezani

    HAAAAAAA!!!!kUMBE JAMAAA CHAKULA YA WATU SASA MBONA WATU WANABWABWAJA SANA KUPIGA PICHA HIZO NA HUYO DEMU!!!NI SHOSTI WAKE TU SI UNAJUA HAO MAGAYS WENGI HUWA MARAFIKI ZAO NI MADEMU
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naogopa mapenzi ila ashiki zinasumbua

    niombeee
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naogopa mapenzi ila ashiki zinasumbua

    hahhah nifundishe
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania kwanini Madem hawapendi ustarabu kwenye six by six

    hovyoo
Back
Top Bottom