Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi we ukiambiwa ni tapeli utabishaje? Hata matangazo ya waganga Wa kienyeji hayawekwi hiviHabari ndugu zangu
Nauza meza ya chakula na viti vyake, ni kama vile bado mpya tu nimetumia kwa miezi miwili...
Bei shilingi laki tatu na nusu, ipo jijini Dar es salaam
0621026804
Bei nimeandika hapo mkuu, shilingi laki tatu na nusu pamoja na viti vyakemeza nzuri sana hiyo mkuu
ila mbona hujasema na bei ya hivyo vigoda
Kitu gani ambacho hujakielewa kwenye post yanguHivi we ukiambiwa ni tapeli utabishaje? Hata matangazo ya waganga Wa kienyeji hayawekwi hivi
Kama unaona tangazo lako limekamilika ni sawa basKitu gani ambacho hujakielewa kwenye post yangu