Recent content by Mdokezi2

  1. Mdokezi2

    The vatican changing tone on homesexuality?!

    BBC wanatoa tafsiri yao kutetea msimamo wa kimagharibi tu.....:-\ catholic church will never bless sins.
  2. Mdokezi2

    Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

    nmeikubali hii.....la msingi ni kujua kusoma lkuandika na uwezo binafsi tu wa kupambanua matukio.......havihitaji degree
  3. Mdokezi2

    Katiba Mpya na wakati sahihi

    Sote tunaelewa kwa kiwango fulani mwenendo wa mchakato wa uundwaji wa katiba mpya unaoendelea hivi sasa. Swali nililo nalo kwenu wanajamvi na watanzana kwa ujumla. Je, ni sahihi kuharakisha zoezi hili la uundwaji wa katiba kwa kisingizio cha kutaka katiba hiyo itumike ktk uchaguzi mkuu ujao...
  4. Mdokezi2

    UKAWA wakataa tena kurejea bungeni

    Habari nyingine kubwa ya Tanzania ni mjadala wa kurudi au kutorudi bunge la katiba kwa vyama vya Upinzani ambavyo vilijiunga na kuwa Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) kwenye mchakato wa kuitafuta katiba mpya ya Tanzania. Mbunge wa Nzega Hamis Kigwangalla (CCM) usiku wa August 1 2014...
  5. Mdokezi2

    Mapenzi ndo Wimbo wa Taifa??

    Kila mahali sasa kila mtu anazungumzia mapenzi......wakati enzi zile (ambazo kila mtu anaziita enzi zetu) mapenzi yalikuwa siri ya wawili tuuu.....jmn tupunguze au tubadilishe style!!!
  6. Mdokezi2

    Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

    mi mrefi sana ila cna hzo tabia.......moja tu ni kwamba SIWAPENDI watu wafupi...
  7. Mdokezi2

    UKAWA kashinikizeni serikali tatu bungeni sio mtaani!!!

    UKAWA NA HATMA YA BUNGE MAALUM LA KATIBA. UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) wakiwa ni washiriki halali wa Bunge Maalum lililoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania waliamua kususia vikao vya bunge hilo ikiwa ni njia ya kushinikiza madai yao. Baadhi tu ya madai waliyotoa ni...
  8. Mdokezi2

    Baada ya kutoka jela, Emmanuel Mbasha azungumzia kuhusu Flora Mbasha

    Sioni sababu ya kufuatilia suala km hili ambalo mwisho wake hauna faida yoyote ile zaidi ya kusababisha ugomvi tu na kupoteza mda!!!
  9. Mdokezi2

    Kanisa lafichua siri kifo cha sista, ufafanuzi wa tukio

    Baada ya mauaji mbalimbali yanayotokea hapa nchini na hiki cha karibuni zaidi cha Sista wa kanisa Katoliki. Jeshi letu hili chini ya IGP Mangu limeendelea kuonesha udhaifu wake kwa kutoa taarifa wanazodai ni za "kiintelijensia".....sijui ni intelijensia gani isiyomhusisha mhusika wa tukio...
  10. Mdokezi2

    Kila muundo wa muungano utaleta kero

    Hakuna mfumo usio na kero ila tunaangalia wenye kero zlizo nafuu na sio nyingi.
  11. Mdokezi2

    Tatizo sio Muungano!!!

    Nimefuatilia kwa karibu kabisa kuhusu taarifa mbalimbali na maelezo yanayotolewa kuhusiana na muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania!! Maelezo mengi katika hayo ni yasiyojitosheleza na hayatoi mwanga kwa wananchi waweze kuujua kwa utoshelevu na kuwawezesha kuutetea!! Naiomba...
  12. Mdokezi2

    Serikali Mbili ni Gharama Kubwa !

    Unafikiri idadi ua serikali ndo tatizo??? Zimekuwepo serikali mbili znazoiwezesha zbar kuwa na madaraka yake binafsi na kufanya muungano pia uwepo.
Back
Top Bottom