Kwan kuna tatizo January kua Rais WA taifa hili baada ya mama? Ha ha ha ana haki na sifa zote we tabu yako ni nin? Kama unazo na wewe ni haki yako pambana uwe Rais
Wewe Mwenye akili kubwa inayowaza mambo makubwa makubwa pale mtaan kwako umefanya initiative gan ili kuwasaidia Akina mama tufanye comparison na kuja kujifunza?
Kwanza pesa zote ni Mali ya wananchi,Rais WA nchi wala Hana pesa za kutoa Ila wananchi wanatoa Kwa kulipa Kodi na tozo mbalimbali half MWISHO kufanya miradi ya maendeleo sio kinga wala justification ya kua msafi na kutopiga na kuifanya kinga dhidi ya ufisadi
Kwamba chief of Party anapata 60m Kwa mwaka te te te te kukurupukia Jambo usilojua ni tabu Sana aisee.Chief of Party wanakua ni watendaji au wakuu wa program fulan na wanareport KW Country Director.Kama huelew jambo fulan jaribu kufanya research hata ya kawaida uelewe
Can you put those ubadhirifu evidence here? Hyo aliyemtengua wakat huo aliwah weka evidence za ubadhirifu wa Mchechu au hearsay Tu? Majungu majungu majungu tu
Mbunge akishalambwa kichwa kwenye uchaguz na kamat huku anakwisha kabisa,same principle aliyoitumia JPM kukata watu na kupitisha watu wake wanajua pia wasipokua royal kw SSH watalambwa na mwishowe watapoteza wao.Siasa za Tanzania ukishapigwa chini na chama ndo imeisha hivyo
Alikubali influence ya wapiga deal kwenye sector ya mafuta wakajipenyeza kupitia mfumo WA kuagiza mafuta Kwa pamoja (Bulk procurement) akaforce wapewe tender 15% kwa kisingizio cha uzawa kumbe jamaa hawana uwezo wakapelekea kuingiza mafuta Kwa garama kubwa mafuta taa na petrol vikapanda bei japo...
Tanesco chini ya Waziri aliyepita walitangaza tender na kampuni zikaomba , Waziri wa Sasa amekuja kushuhudia utiaji sain na kazi ianze.Pesa imetoka Kwa ajili ya kuweka Sawa mifumo ya Tanesco so mlitaka naye aanze kutudanganya kama last phase? Sasa hapo mnamlaumu Kwa lipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.