Waziri na Bodi ya Nishati mlianza kwa kutupiga Tshs bilioni 65 kwa kufunga rada wakati hakuna umeme wa uhakika

Waziri January Makamba ulipoingia wizarani baada ya kuunda bodi ya wakurugenzi haikupita muda mkaingia mkataba wa dola million 30 na kampuni ya kihindi ya Mahendrakwa ajili ya setelite.

Huu ni wizi wa mchana kabisa tena wa mapema ukifumbiwa macho na utawala.

1. Kama miundo mbinu mibovu inahitaji ukarabati, setalite ilikuwa priority? Au fedha hiyo ingetumika kukarabati kwanza so said miundo mbinu chakavu?

2. Kama hatuna umeme wa uhakika, kwanini fedha hiyo isingetumika kuongezea uzalishaji umeme?

3. Hiyo setelite haikuwa kipaumbele bali ni maslahi binafsi ya kwako na bodi yako.

Naomba mamlaka zichunguze kwa makini kuhusu mkataba huu wenye harafu ya kifisadi, mabingwa wanachukua chao mapema mno
Matumizi mabaya ya pesa za umma(wizi) mchana kweupe, bila aibu nisawa na kufunga 'car track' king'amuzi cha kuangalia gali likowapi, kwenye magali yasiyotembea, ambayo unajua yakowapi 'well defined as daylight robbery'
 
Mimi naona hapa watu wana visa personal na Bwana Makamba,maana haiwezekani threads kila siku mjadala ni yeye, kwani wizara zingine vipi hazina issue za kujadiliwa?

Roho mbaya ni stage ya awali ya uchawi.
Acha watu waseme na wewe jitahidi kumtetea,
Utanzaje kuingia mkatba wa ufnisi wakati umeme unasuasua, hizo stelite zitakua zinafanya kazi gani kama kila siku giza?
 
Acha watu waseme na wewe jitahidi kumtetea,
Utanzaje kuingia mkatba wa ufnisi wakati umeme unasuasua, hizo stelite zitakua zinafanya kazi gani kama kila siku giza?
Ajabu hawataki tuseme ,lazima watakuwa wanufaika
 
Waziri January Makamba ulipoingia wizarani baada ya kuunda bodi ya wakurugenzi haikupita muda mkaingia mkataba wa dola million 30 na kampuni ya kihindi ya Mahendrakwa ajili ya setelite.

Huu ni wizi wa mchana kabisa tena wa mapema ukifumbiwa macho na utawala.

1. Kama miundo mbinu mibovu inahitaji ukarabati, setalite ilikuwa priority? Au fedha hiyo ingetumika kukarabati kwanza so said miundo mbinu chakavu?

2. Kama hatuna umeme wa uhakika, kwanini fedha hiyo isingetumika kuongezea uzalishaji umeme?

3. Hiyo setelite haikuwa kipaumbele bali ni maslahi binafsi ya kwako na bodi yako.

Naomba mamlaka zichunguze kwa makini kuhusu mkataba huu wenye harafu ya kifisadi, mabingwa wanachukua chao mapema mno
Mtahangaika Sana Sukuma gang Ila MWISHO WA siku hamtafanikiwa ha ha ha ha.Naona mmeshikwa pabaya mnamtafuta JM kila kona.
 
Mnamlaumu mbwa badala ya mfuga mbwa

Wanaogopa kusema Raisi Samia ni Fisadi, unganisheni doti alifwata nini Misri ? Na aliporudi ukame ukatangazwa, kwa kifupi alienda kusitisha mradi wa Stiegler na kumlipa Mwarabu asishitaki.

Kwa kifupi mradi wa Stiegler umeshakufa na aliyeumaliza kwa makusudi ni Raisi wa nchi, …
 
Wanaogopa kusema Raisi Samia ni Fisadi, unganisheni doti alifwata nini Misri ? Na aliporudi ukame ukatangazwa, kwa kifupi alienda kusitisha mradi wa Stiegler na kumlipa Mwarabu asishitaki.

Kwa kifupi mradi wa Stiegler umeshakufa na aliyeumaliza kwa makusudi ni Raisi wa nchi, …
Aibu sana kwa Taifa Zima
 
Wanaogopa kusema Raisi Samia ni Fisadi, unganisheni doti alifwata nini Misri ? Na aliporudi ukame ukatangazwa, kwa kifupi alienda kusitisha mradi wa Stiegler na kumlipa Mwarabu asishitaki.

Kwa kifupi mradi wa Stiegler umeshakufa na aliyeumaliza kwa makusudi ni Raisi wa nchi, …
Kuna ukweli flani hivi
 
Back
Top Bottom