Pole na shughuli.
Samahani, Gushit Team tunaomba utusaidie maoni/mawazo yako katika idea yetu ambayo imefanikiwa kuvuka hatua ya kwanza ya African News Innovation Challenge(ANIC) ambao wanataraji kuwapa washindi si chini ya $1.0m.
Waandaaji (ANIC) wameweka wazi kwamba wanahitaji idea...
Pole na shughuli.
Samahani, Gushit Team tunaomba utusaidie maoni/mawazo yako katika idea yetu ambayo imefanikiwa kuvuka hatua ya kwanza ya African News Innovation Challenge(ANIC) ambao wanataraji kuwapa washindi si chini ya $1.0m.
Waandaaji (ANIC) wameweka wazi kwamba wanahitaji idea...
REQUEST FOR PUBLIC COMMENTS BY A TANZANIAN WEB STARTUP IN AFRICAN NEWS INNOVATION CHALLENGE
Gushit is a Tanzanian based contents distribution and engagement startup operated by Jigambe Technologies Limited (JTL) that owns other websites such as TanzaniaKwetu and JigambeAds among others...
Hebu pitia hii link How to Heal With Tanzanite | eHow.com uone tulivyobarikiwa kwa rasilimali watanzania... kumbe tanzanite sio kua ni vito tu bali yaweza kuwa dawa...
Kwanini kwenye simu nyingi za kichina kunakua na web browser ila ukijaribu ku-connect internet inagoma!?
Kuna mwenye settings za internet kwenye simu za kichina!?
I'm looking for STRICTLY TANZANIAN WEBSITES that offers affiliate programs.
If you have (or you know) an affiliate program in your website(one owned by a tanzanian or someone living in tanzania) please comment and give us a link directing us to the affiliate program.
Thanks.
Yap, lazima wataweka grace period na pia kutakua na "backward compatibility"... That is, itakua webserver zitakua zinasema requirement is php 4.3 or higher... Nadhani watatoa grace period ili kwamba watu wasiumie sana (ingawa grace yenyewe itakua wao wanaiona kubwa na sisi tunaiona ndogo sana as...
Sio hvyo tu, kuna vyuo vingi sana tanzania vinafundisha programming, cha kwanza ni university of dar es lakini havijaorodheshwa hapo kwenye hiyo link... Nilitaraji walau some people from hvyo vyou nao wangeweka hata comment kua vyuo vyao navyo vipo!
Tembelea link hii: http://www.ehow.com/m/list_7169020_computer-programming-courses-tanzania.html
Sasa, baada ya kutembelea, vyuo vingine kama UDSM, UCC, MIST, UDOM, etc mpo wapi!?
Let's be active!
I have been going through this... I see some major changes from them, ila naona kama it will soon change again cz they are using php and funny enough is, php will nearly change to version 6.0 from 5.4...
Kwa programmers, tunasema: "that's the bad side of technology being too fast"----- kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.