snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
Habari wanaJf,naomba kuuliza,nikitaka kutoa kitabu hapa Tanzania kuhusu jambo Fulani(lolote),ili kupata ISBN number na kitabu change kupitishwa,ninatakiwa kupitia hatua gani?je kuna gharama yoyote?mwenye azoefu au idea ya uandishi wa vitabu hapo nchini kwetu tafadhali a-post chini ya thread hii.natanguliza shukrani