mdeesingano
Member
- Aug 12, 2008
- 64
- 19
Pole na shughuli.
Samahani, Gushit Team tunaomba utusaidie maoni/mawazo yako katika idea yetu ambayo imefanikiwa kuvuka hatua ya kwanza ya African News Innovation Challenge(ANIC) ambao wanataraji kuwapa washindi si chini ya $1.0m.
Waandaaji (ANIC) wameweka wazi kwamba wanahitaji idea zipate comment/criticism/mawazo ya watanzania na mashabiki wengine ili kutuvusha katika hatua nyingine tena ya pili baada ya kuvuka ile ya kwanza.
Ili kuweka comment/criticism/mawazo au maoni yako katika idea yetu tafadhali click/tembelea link hii:
African News Innovation Challenge | Gushit "yakiTz kwa waTz" - Tanzania's crowdsourced new aggregator
Ahsante
Gushit Team
Samahani, Gushit Team tunaomba utusaidie maoni/mawazo yako katika idea yetu ambayo imefanikiwa kuvuka hatua ya kwanza ya African News Innovation Challenge(ANIC) ambao wanataraji kuwapa washindi si chini ya $1.0m.
Waandaaji (ANIC) wameweka wazi kwamba wanahitaji idea zipate comment/criticism/mawazo ya watanzania na mashabiki wengine ili kutuvusha katika hatua nyingine tena ya pili baada ya kuvuka ile ya kwanza.
Ili kuweka comment/criticism/mawazo au maoni yako katika idea yetu tafadhali click/tembelea link hii:
African News Innovation Challenge | Gushit "yakiTz kwa waTz" - Tanzania's crowdsourced new aggregator
Ahsante
Gushit Team