Mkuu huyu mama ni nyoka mwenye sumu mbaya na anaweza akawaua watz kwa unafiki wake. Yeye ndiye aliyepewa hela na mafisadi ahonge vijana kule Mbeya- Kiwira. Na asingeshtuka vijana wa Kiwira wamechoka walitaka kumbaka. Pia huyu mama kumbuka walipewa mihela na mafisadi ili mumewe agombee urais...
Dear readers, any one with copy of the constitutional review act signed by he the president of united republic of tanzania, please post here so that we can see what was added there in by the parliamentary committee. Especially the setback clauses which said to be added u/s 19 to 21.
Halmashauri ya manispaa ya morogoro kitengo cha ardhi inanuka kwa rushwa. Kuna afisa ardhi mmoja anaitwa lusekelo anapora ardhi za wanyonge kama yeye ndiye mwenye ardhi.
Kila ofisi katika manispaa hiyo wanamjua lakini cha ajabu yeye ndio anaendelea kula maisha tu. Amedhulum viwanja kumi eneo...
Wakuu habari zilizopatikana ni kwamba Shimbo hakulazwa SA. Ila alipopata habari inasemekana ni kweli pressure ilimpanda, hakupelekwa SA wala Hospitali yao ile ya Lugalo, alipelekwa ile ya usalama wa taifa ili askari wasijue. Habari zaidi zinasema pesa alizokutwa nazo zinatokana na yafuatayo:
1...
Kauli hizi zinatolewa na wabunge wa viti maalum ambao ndo wamejaza bunge. Wanachofanya ni kushangilia pumba hata kama mbunge anashukuru kwa kugongwa vizuri na mumewe, wao wanashangilia na kupiga makofi.
Mkuu kweli wewe nakukubali. lakini twende mbali zaidi hatua za dharula kuasha watanganyika zichukuliwe. Mojawapo kuungana wote bila kujali vyama kudai nchi yetu. Kwani wenzetu wameshiba.
mkuu nakubaliana nawe, kwani katika uchaguzi wa 2010 nilitaraji dsm wangefanya mabadiliko ya msingi. Lakini cha ajabu wakawarudisha hata akina makongoro
Issue ni kwamba sasa tunataka mabadiliko. Everything too much is harmful. Sasa hivi wana magamba wanajiona ndio wana hati miliki na nchi hii. Wapishe hata wengine. Tumechoka na mawazo mgando
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.