mafinga kwetu
Member
- Nov 21, 2010
- 35
- 3
Nilishindwa kuamini jinsi msanii bushoke alipozomewa na kuonyeshwa ishara za kuwa atoke jukwaani baada ya kutoa pongezi kwa Kikwete.
Jamaa alipaniki mpaka akasahau hata kuchukua tuzo aliyotunukiwa na clouds kwa ajili ya ushiriki wa fiesta.
Kweli hali ni mbaya.
Jamaa alipaniki mpaka akasahau hata kuchukua tuzo aliyotunukiwa na clouds kwa ajili ya ushiriki wa fiesta.
Kweli hali ni mbaya.