Recent content by Mdalavangu

  1. M

    Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

    Sasa wewe ulianzaje kutumia pep...kwan ulikuwa umeshazini nae? Maana nijuavyo pep yakipita masaa 72 baadae ya tukio hatarishi la maambukizi kutokea...uhakika wa kuzuia maambukizi unakuwa negligible! Kwa hiyo nakushauri ukapime tena baada ya miezi mitatu.
  2. M

    Zari anunua gari audi mpya 2018

    Mmh! Wanaume kama mabinti
  3. M

    Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

    Nani amekudanganya kuwa wali ni chakula laini...au ndo wale wapenda ubwabwa
  4. M

    Wakinadada mlioingia kwenye ndoa muwe wavumilivu

    Vocha tangu lini ikawa na thamani sawa na simu?....ukikwangua unatupa kuleeeeeeeeeee!
  5. M

    Madhara ya kufanya mapenzi na wanawake/wanaume wengi

    Wanawake wanakuwa kwenye hatari kubwa ya kupata saratani ya shingo ya kizazi...
  6. M

    Wanawake wenye waume walevi njooni hapa tufutane machozi

    Enyi wanaume walevi na malaya... ni nani aliyewaloga? Dada mtoa mada, kwa kweli nakupa pole sana mamy kwa kuwa mwanamke anapoamua kuolewa na kuishi na mume lengo kubwa ni kutengeneza familia na pia kuishi maisha ya furaha. Nakushauri umuombe sana Mungu akupe ujasiri na hekima ya kuishi na mume...
  7. M

    Msichana wangu kanipa kisonono, nimuache au niendelee naye?

    Kijana acha uzinzi, nani ana uhakika kama sio wewe uliyemuambukiza? Unamuhitaji YESU
  8. M

    Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

    Wanaume dizaini hiyo ni headache... they think hiyo character waliyonayo ndo kila kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Unapenda mwanamke au mwanaume wa aina gani?

    Nampenda mwanaume anaejituma katika utafutaji... Asiwe tegemezi tumechoka! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

    Mkanda wa jeshi au 'herpes zhoster' ni ugongwa unaosabanishwa na herpes viruses. Kwa kawaida mtu hasa mtoto mdogo anaweza kuugua ugonjwa unaosababishwa na virus kama surua, kwa kuwa virus huwa hawafi wanakuwa na kawaida ya kuwa dormant hivyo huenda na kukaa kwenye dorsal column ya uti wa mgongo...
  11. M

    Msaada wa haraka wakuu kuhusu matumizi ya dawa hizi

    Hiyo ni ointment, wakati wa kuitumia muhusika anatakiwa kufungua jicho lake na kuminya kiasi kidogo. Then anaweza kupumzika kwa dkk kadhaa kwa kufumba macho ili dawa isambae vyema. Post sent using JamiiForums mobile app
  12. M

    Kwanini Wanawake wenye majina haya yafuatayo huwa ni wazuri / watamu Kitandani?

    Hapana chezea Grace wewe...hiyo ni habari nyingine
  13. M

    Mwanamke usikubali upweke olewa

    Nakubaliana na mtoa mada kwa sehemu lakn naamini amani au furaha ya mwanamke ina associate na sababu nyingine pia not only marriage
  14. M

    Wapenda ugali mpo?

    Ugali ni mtamu jamani tuache utani hasa ukila na samaki au nyama choma....ila una wanga (carbohydrate)
Back
Top Bottom