Mwanamke usikubali upweke olewa

Mwanamke usikubali upweke olewa

Nakubaliana na mtoa mada kwa sehemu lakn naamini amani au furaha ya mwanamke ina associate na sababu nyingine pia not only marriage
 
Na loveeness78 usifikirie sana kuja kuolewa na unayempenda sana utajikondesha bure wanaume sisi tunajijua wenyewe ni ngumu kutuelewa tunachotaka
Fikiria maisha na ni busara kuwa na familia kulinda heshima ya uzee wako.
Mi sijawahi kupata stress na kuolewa, nataka familia ila sio lazima niwe na mume. Ila mume bora mwenye asilimia kubwa ya vigezo nitakavyo, sio eti naokota lijitu eti umri!

Hata nikifikisha huo umri sitakuwa na kichaa eti mume!!!!! Furaha inapatikana sehemu nying. Nina marafiki zangu wameolewa asilimia kubwa wanajuta wamechakaa, zaidi kizuri walichopata ni Mtoto tu. Mi nikitaka Mtoto nitazaa bila kujitafutia stress.
 
Mi sijawahi kupata stress na kuolewa, nataka familia ila sio lazima niwe na mume. Ila mume bora mwenye asilimia kubwa ya vigezo nitakavyo, sio eti naokota lijitu eti umri!

Hata nikifikisha huo umri sitakuwa na kichaa eti mume!!!!! Furaha inapatikana sehemu nying. Nina marafiki zangu wameolewa asilimia kubwa wanajuta wamechakaa, zaidi kizuri walichopata ni Mtoto tu. Mi nikitaka Mtoto nitazaa bila kujitafutia stress.
Jidanganye, huyo anayekumbia amechoka na ndoa anakuwa anakupa faraja tu we we na usimbe wako!
Sababu hata yeye akilimwa taraka na mmewe ataishia kuangua kilio!
Kwa nin kilio?
 
Maisha ni maamuzi, ni kusimamia kile unachoamua.wacheni kututia ujinga, kwani wao si waoe tunawahusu nini!
Tatizo watu wanaamini kuwa ndoa ni fever kwa mwanamke, mnajidanganya!!! mwanamke anaweza kutoolewa na akaishi vizuri kuliko mwanaume asie oa.
Nakuona Loveeness ulivyo na hasira na hii mada, kulikoni nyuma ya pazia!!?
 
Wenzako miaka 26, 27, 28 hadi 32 wanawazia promotion kwenye kazi zao, au next vacation in the Caribbean islands wewe unawaza ndoa?
Mwanamke hana ujanja wa kwenda vacation mwenyewe na akainjoi!! Wewe bisha tu
 
Mwanamke hana ujanja wa kwenda vacation mwenyewe na akainjoi!! Wewe bisha tu
Sasa hiyo inahusiana vipi na kuolewa?

Wewe unakaa ndani ya vichwa vya wanawake ujue akienda vacay bila mwanaume hafurahii?
 
Hii ni FACT inayochagizwa na uwepo wa waumini wengi wa kike makanisani, huku wakitaka kuombewa wapate wachumba.

Pia hii FACT inapata nguvu zaidi kwa kuona idadi kubwa sana ya wanawake wanaenda kwa waganga wa kienyeji kupewa dawa za kuwarahisishia wapate ndoa.

Jamani, tunachat sana na wanawake, tunajua kuwa wengi (of course sio wote) wanaitafuta ndoa kuliko kumtafuta Mungu wa mbinguni.

Mimi nashindwa kuelewa, ni kwa nini???? Lakini bible nayo inatoa FACT nyingine kuwa itafika wakati ambapo wanawake wataomba waitwe kwa majina ya wanaume (watawatongoza wanaume)

Na hili linawapa sana kiburi wanaume, kujua kuwa wanawake wapo so desperate kuolewa, I wish dada zangu wangelitambua hilo na "kutoa mguu kwenye pedal".
 
Aahahhaaaa,,we hayo umeyatoa wapi,,au umeamka tu ukaamua uandike.,,unaweza weka refference .
 
Back
Top Bottom