Recent content by mdalah

  1. mdalah

    Hivi, Hili Tanga Linalozungumziwa Ni Tanga Gani Haswa Wakuu...?

    Kwa kibondei tanga ni shamba. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mdalah

    Hatari: Samsung system UI hidden

    Samsung yatangaza tatizo kwa simu za galaxy s5 s6 s7 na note4 kuwa na tatizo la system ui ambapo huji reset yenyewe na kufuta data zote jinsi ya kutatua tatizo uwena na -earphone za samsung -usb cable original -uwe na kies samsung app kwenye pc speps plug usb to phone and pc kisha fungua kies...
  3. mdalah

    Dodoma City In Photos

    Wagogo ndiyo wenyeji dodoma city.
  4. mdalah

    Vodacom Internet: Nimekosa kifurushi cha kujiunga kabisa

    Mbona wanaupendeleo na wote ni wateja wao.
  5. mdalah

    Walimu wenzangu: Hivi ukiwa mwalimu ni lazima uvae manguo yasiyoeleweka, oversize na malonya?

    inategemea na maadili ya mwalimu mwenyewe kupendeza siyo lazima uvae vimini na tight ,shape pia zinatofautiana.
  6. mdalah

    Awamu ya 5, kuajiriwa private au kujiajiri ni BORA kuliko serikalini

    Ni kweli ni bora kujiajiri kuliko utumwa.kupelekeshwa.
  7. mdalah

    Nawaza: Walimu wenye diploma na grade A wangepunguzwa kupisha digrii

    kasome hata hiyo diploma I we ya sayansi au hisabati ili uajiriwe .
  8. mdalah

    Wazazi tuungane kuipinga Bodi ya Mikopo

    Wapo waloajiriwa na hawakatwi Deni la mkopo wa bodi.
  9. mdalah

    Wadaiwa Sugu HESLB msako utakuwa hivi

    waangalie Kwenye uhakiki vyeti na salary slip Kama wanufaika wanakatwa deni la mkopo WA bodi?
  10. mdalah

    Ninaomba ujibu hesabu yangu, wengi watafeli

    Apple =1,bananas0=4,coconut=2
Back
Top Bottom